Hayati Magufuli, Rais aliyeamua kwa makusudi kujiwekea madoa kwenye utawala wake

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"

Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa

Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.

Alikuwa mtu fulani ambaye ni kama alitamani nchi yote hii aishi yeye na watu atakao watengeneza yeye wa kumuelewa na kufanana naye.

Aliongoza Taifa Kama familia yake tena yenye watoto under 18 ambao maamuzi yote watasubiri kwa Baba. Kwa mfano:-

1. Kujifanya yeye ndio mjuaji wa kila kitu na wengine wote hawajui chochote, wachache tu ndo wangemfurahia

2. Kuongea kwa dharau anapoongelea maslahi ya watu hasa watumishi wa umma, ni hakika alitufanya tutende dhambi ya kumchukia

3. Kuwaaminisha kundi la maskini kwamba yeye ndo mwema pekee na anatetea maslahi yao kwa kuwakomesha wanyang'anyi waliojimilikisha mali za Tanzania wakati huo huo pesa ikiondoka mtaani na kufungiwa kwenye vyumba anavyovifahamu yeye, wenye akili wasingemuelewa

4. Ubabe, dhihaka kwa viongozi wenzake, kufoka, matusi na kupenda kusikia mazuri tu, hili nalo halikupendeza machoni pa wengi

Hayo na mengine mengi yalimfanya ajiwekee madoa doa kwenye uongozi wake kwa makusudi kwani uwezo wa kutoyafanya na akafanikiwa alikuwa nao

Hata hivyo pamoja na mengi aliyofanya ambayo hayakuwapendeza waliowengi wakiwemo wasaidizi wake kwasababu za wazi na zisizowazi, najiuliza yafuatayo:-

1. Je, ndio sababu reli ya SGR isikamilishwe kwa wakati!?Wanamkomoa marehemu au Wananchi?

2. Bwawa la Nyerere tunasikia sio kipaumbele tena, kwani alikuwa anawajengea wanachato au Wananchi wote!?

3. Tunaona "wakoloni" waliopewa jina zuri la "wawekezaji"(Kwa kukopa maneno ya Professor mmoja mjumbe wa kigoda Cha Mwalimu Nyerere) wakimiminika kila Kona kwenye kila sekta huku wazawa wakiwekwa pembeni. Hapa napo tunalipiza kwa aliyofanya marehemu?

4. Bei za vyakula na bidhaa nyingine zinapanda kila baada ya dk kadhaa Kama zile biashara za kina Ontario za forex na utetezi umekuwa vita vya Ukraine na Urusi badala ya kusema ukweli vyakula tulivigawa kwa majirani zetu kwa bei chee Sasa tunahaha!

5. Ili kumkomoa, hatuoni taabu kupanda daladala "Europe" kwa safari ambayo ingeweza kuishia ubalozi uliopo nchini kwa kusaini kitabu Cha maombolezo japo na bendera ilishushwa nusu mlingoti. Bado hii haikutosha tutapigaje selfie na jeneza tusipoenda!?

6. Waliokuwa wanajinasifu kuwa watetezi wa wanyonge wameona Sasa wawanyonge wanyonge hao na kamba ya TOZO ilizongushwa kila Kona kiasi Cha kukosa pa kupumlia. Hapa napo wanamkomoa marehemu?

Hayo na mengine mengi wanayoendelea kufanya bila kufikiri vizuri, yanafuta taratibu madoa ambayo mwendazake alijiwekea mwenyewe na kwa kiasi kikubwa yakamchora Kama kiongozi aliyenyanyasa wenzake

Wakiendelea hivyo, the Late Magufuri ataibuka shujaa mioyoni mwa wote wenye akili na kulipenda Taifa letu.

Siku zote, ubaya alioutenda kiongozi kwa wananchi hufutwa na ubaya unafuatia kwa kiongozi mwingine!

Haya yanayoendelea Sasa yakiendelea hivi yanavyoendelea, the Late Magufuri ataonekana mwema na mtu aliyependa maendeleo machoni pa waliowengi kuliko mrithi wake wa sasa!

Time will tell
 
Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"

Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa

Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.

Alikuwa mtu fulani ambaye ni kama alitamani nchi yote hii aishi yeye na watu atakao watengeneza yeye wa kumuelewa na kufanana naye.

Aliongoza Taifa Kama familia yake tena yenye watoto under 18 ambao maamuzi yote watasubiri kwa Baba. Kwa mfano:-

1. Kujifanya yeye ndio mjuaji wa kila kitu na wengine wote hawajui chochote, wachache tu ndo wangemfurahia

2. Kuongea kwa dharau anapoongelea maslahi ya watu hasa watumishi wa umma, ni hakika alitufanya tutende dhambi ya kumchukia

3. Kuwaaminisha kundi la maskini kwamba yeye ndo mwema pekee na anatetea maslahi yao kwa kuwakomesha wanyang'anyi waliojimilikisha mali za Tanzania wakati huo huo pesa ikiondoka mtaani na kufungiwa kwenye vyumba anavyovifahamu yeye, wenye akili wasingemuelewa

4. Ubabe, dhihaka kwa viongozi wenzake, kufoka, matusi na kupenda kusikia mazuri tu, hili nalo halikupendeza machoni pa wengi

Hayo na mengine mengi yalimfanya ajiwekee madoa doa kwenye uongozi wake kwa makusudi kwani uwezo wa kutoyafanya na akafanikiwa alikuwa nao

Hata hivyo pamoja na mengi aliyofanya ambayo hayakuwapendeza waliowengi wakiwemo wasaidizi wake kwasababu za wazi na zisizowazi, najiuliza yafuatayo:-

1. Je, ndio sababu reli ya SGR isikamilishwe kwa wakati!?Wanamkomoa marehemu au Wananchi?

2. Bwawa la Nyerere tunasikia sio kipaumbele tena, kwani alikuwa anawajengea wanachato au Wananchi wote!?

3. Tunaona "wakoloni" waliopewa jina zuri la "wawekezaji"(Kwa kukopa maneno ya Professor mmoja mjumbe wa kigoda Cha Mwalimu Nyerere) wakimiminika kila Kona kwenye kila sekta huku wazawa wakiwekwa pembeni. Hapa napo tunalipiza kwa aliyofanya marehemu?

4. Bei za vyakula na bidhaa nyingine zinapanda kila baada ya dk kadhaa Kama zile biashara za kina Ontario za forex na utetezi umekuwa vita vya Ukraine na Urusi badala ya kusema ukweli vyakula tulivigawa kwa majirani zetu kwa bei chee Sasa tunahaha!

5. Ili kumkomoa, hatuoni taabu kupanda daladala "Europe" kwa safari ambayo ingeweza kuishia ubalozi uliopo nchini kwa kusaini kitabu Cha maombolezo japo na bendera ilishushwa nusu mlingoti. Bado hii haikutosha tutapigaje selfie na jeneza tusipoenda!?

6. Waliokuwa wanajinasifu kuwa watetezi wa wanyonge wameona Sasa wawanyonge wanyonge hao na kamba ya TOZO ilizongushwa kila Kona kiasi Cha kukosa pa kupumlia. Hapa napo wanamkomoa marehemu?

Hayo na mengine mengi wanayoendelea kufanya bila kufikiri vizuri, yanafuta taratibu madoa ambayo mwendazake alijiwekea mwenyewe na kwa kiasi kikubwa yakamchora Kama kiongozi aliyenyanyasa wenzake

Wakiendelea hivyo, the Late Magufuri ataibuka shujaa mioyoni mwa wote wenye akili na kulipenda Taifa letu.

Siku zote, ubaya alioutenda kiongozi kwa wananchi hufutwa na ubaya unafuatia kwa kiongozi mwingine!

Haya yanayoendelea Sasa yakiendelea hivi yanavyoendelea, the Late Magufuri ataonekana mwema na mtu aliyependa maendeleo machoni pa waliowengi kuliko mrithi wake wa sasa!

Time will tell
Ngoja nienda kanisani kwanza nitarudi baadae.
 
Mwambieni Lisu Tanzania haikushitakiwa MIGA badala yake tulilipwa billion 700
 
Kuna lile suala la kuharibu mfumo wa uchaguzi.Yaani upige kura usipige kura atapata asilimia mia
 
Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"

Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa

Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.

Alikuwa mtu fulani ambaye ni kama alitamani nchi yote hii aishi yeye na watu atakao watengeneza yeye wa kumuelewa na kufanana naye.

Aliongoza Taifa Kama familia yake tena yenye watoto under 18 ambao maamuzi yote watasubiri kwa Baba. Kwa mfano:-

1. Kujifanya yeye ndio mjuaji wa kila kitu na wengine wote hawajui chochote, wachache tu ndo wangemfurahia

2. Kuongea kwa dharau anapoongelea maslahi ya watu hasa watumishi wa umma, ni hakika alitufanya tutende dhambi ya kumchukia

3. Kuwaaminisha kundi la maskini kwamba yeye ndo mwema pekee na anatetea maslahi yao kwa kuwakomesha wanyang'anyi waliojimilikisha mali za Tanzania wakati huo huo pesa ikiondoka mtaani na kufungiwa kwenye vyumba anavyovifahamu yeye, wenye akili wasingemuelewa

4. Ubabe, dhihaka kwa viongozi wenzake, kufoka, matusi na kupenda kusikia mazuri tu, hili nalo halikupendeza machoni pa wengi

Hayo na mengine mengi yalimfanya ajiwekee madoa doa kwenye uongozi wake kwa makusudi kwani uwezo wa kutoyafanya na akafanikiwa alikuwa nao

Hata hivyo pamoja na mengi aliyofanya ambayo hayakuwapendeza waliowengi wakiwemo wasaidizi wake kwasababu za wazi na zisizowazi, najiuliza yafuatayo:-

1. Je, ndio sababu reli ya SGR isikamilishwe kwa wakati!?Wanamkomoa marehemu au Wananchi?

2. Bwawa la Nyerere tunasikia sio kipaumbele tena, kwani alikuwa anawajengea wanachato au Wananchi wote!?

3. Tunaona "wakoloni" waliopewa jina zuri la "wawekezaji"(Kwa kukopa maneno ya Professor mmoja mjumbe wa kigoda Cha Mwalimu Nyerere) wakimiminika kila Kona kwenye kila sekta huku wazawa wakiwekwa pembeni. Hapa napo tunalipiza kwa aliyofanya marehemu?

4. Bei za vyakula na bidhaa nyingine zinapanda kila baada ya dk kadhaa Kama zile biashara za kina Ontario za forex na utetezi umekuwa vita vya Ukraine na Urusi badala ya kusema ukweli vyakula tulivigawa kwa majirani zetu kwa bei chee Sasa tunahaha!

5. Ili kumkomoa, hatuoni taabu kupanda daladala "Europe" kwa safari ambayo ingeweza kuishia ubalozi uliopo nchini kwa kusaini kitabu Cha maombolezo japo na bendera ilishushwa nusu mlingoti. Bado hii haikutosha tutapigaje selfie na jeneza tusipoenda!?

6. Waliokuwa wanajinasifu kuwa watetezi wa wanyonge wameona Sasa wawanyonge wanyonge hao na kamba ya TOZO ilizongushwa kila Kona kiasi Cha kukosa pa kupumlia. Hapa napo wanamkomoa marehemu?

Hayo na mengine mengi wanayoendelea kufanya bila kufikiri vizuri, yanafuta taratibu madoa ambayo mwendazake alijiwekea mwenyewe na kwa kiasi kikubwa yakamchora Kama kiongozi aliyenyanyasa wenzake

Wakiendelea hivyo, the Late Magufuri ataibuka shujaa mioyoni mwa wote wenye akili na kulipenda Taifa letu.

Siku zote, ubaya alioutenda kiongozi kwa wananchi hufutwa na ubaya unafuatia kwa kiongozi mwingine!

Haya yanayoendelea Sasa yakiendelea hivi yanavyoendelea, the Late Magufuri ataonekana mwema na mtu aliyependa maendeleo machoni pa waliowengi kuliko mrithi wake wa sasa!

Time will tell
Lilikuwa ni fagio la chuma linang'oa visiki safisha vichaka kwa motooo
 
... 700 bn out of 360 tr ni %? It is like this; (700,000,000,000/360,000,000,000,000)x100 = 0.1944%. Hii nchi ina mazuzu mengi sana kuliko inavyodhaniwa!
Something is better than nothing...hizi ni km 700 za lami km zingepelekwa kujenga barabara...Dar to Singida.
Nyie mliobaki pambanieni hio 360T sio kulaumu while nyie wenyewe hakuna kitu mmeifanyia hii ichi.
 
... 700 bn out of 360 tr ni %? It is like this; (700,000,000,000/360,000,000,000,000)x100 = 0.1944%. Hii nchi ina mazuzu mengi sana kuliko inavyodhaniwa!
Mazuzu ni wengi mnoooo.wanasahau kwamba kinachomtesa mama Samia ni crisis ya mafuta Duniani..Ila mama Samia Yuko vizur kuliko JPM mnoooo..
 
Bado huwa nakumbuka ile kauli aliyomwambia mkurugenzi wa bukoba huko "eti mimi huwa sijibiwi hivyo" baada ya huyo mama kusema hajui kiasi kilichotumwa kwenye halmashauri yake,yaani magufuri alitaka huyo mama atamke pesa yote ilivyo kama yeye alivyokuwa ana kariri ma tarakimu

Jamaa alituongoza kama wanafunzi ndo maana sitamani tena kupata rais mwenye taaluma ya ualimu
 
Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"

Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa

Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.

Alikuwa mtu fulani ambaye ni kama alitamani nchi yote hii aishi yeye na watu atakao watengeneza yeye wa kumuelewa na kufanana naye.

Aliongoza Taifa Kama familia yake tena yenye watoto under 18 ambao maamuzi yote watasubiri kwa Baba. Kwa mfano:-

1. Kujifanya yeye ndio mjuaji wa kila kitu na wengine wote hawajui chochote, wachache tu ndo wangemfurahia

2. Kuongea kwa dharau anapoongelea maslahi ya watu hasa watumishi wa umma, ni hakika alitufanya tutende dhambi ya kumchukia

3. Kuwaaminisha kundi la maskini kwamba yeye ndo mwema pekee na anatetea maslahi yao kwa kuwakomesha wanyang'anyi waliojimilikisha mali za Tanzania wakati huo huo pesa ikiondoka mtaani na kufungiwa kwenye vyumba anavyovifahamu yeye, wenye akili wasingemuelewa

4. Ubabe, dhihaka kwa viongozi wenzake, kufoka, matusi na kupenda kusikia mazuri tu, hili nalo halikupendeza machoni pa wengi

Hayo na mengine mengi yalimfanya ajiwekee madoa doa kwenye uongozi wake kwa makusudi kwani uwezo wa kutoyafanya na akafanikiwa alikuwa nao

Hata hivyo pamoja na mengi aliyofanya ambayo hayakuwapendeza waliowengi wakiwemo wasaidizi wake kwasababu za wazi na zisizowazi, najiuliza yafuatayo:-

1. Je, ndio sababu reli ya SGR isikamilishwe kwa wakati!?Wanamkomoa marehemu au Wananchi?

2. Bwawa la Nyerere tunasikia sio kipaumbele tena, kwani alikuwa anawajengea wanachato au Wananchi wote!?

3. Tunaona "wakoloni" waliopewa jina zuri la "wawekezaji"(Kwa kukopa maneno ya Professor mmoja mjumbe wa kigoda Cha Mwalimu Nyerere) wakimiminika kila Kona kwenye kila sekta huku wazawa wakiwekwa pembeni. Hapa napo tunalipiza kwa aliyofanya marehemu?

4. Bei za vyakula na bidhaa nyingine zinapanda kila baada ya dk kadhaa Kama zile biashara za kina Ontario za forex na utetezi umekuwa vita vya Ukraine na Urusi badala ya kusema ukweli vyakula tulivigawa kwa majirani zetu kwa bei chee Sasa tunahaha!

5. Ili kumkomoa, hatuoni taabu kupanda daladala "Europe" kwa safari ambayo ingeweza kuishia ubalozi uliopo nchini kwa kusaini kitabu Cha maombolezo japo na bendera ilishushwa nusu mlingoti. Bado hii haikutosha tutapigaje selfie na jeneza tusipoenda!?

6. Waliokuwa wanajinasifu kuwa watetezi wa wanyonge wameona Sasa wawanyonge wanyonge hao na kamba ya TOZO ilizongushwa kila Kona kiasi Cha kukosa pa kupumlia. Hapa napo wanamkomoa marehemu?

Hayo na mengine mengi wanayoendelea kufanya bila kufikiri vizuri, yanafuta taratibu madoa ambayo mwendazake alijiwekea mwenyewe na kwa kiasi kikubwa yakamchora Kama kiongozi aliyenyanyasa wenzake

Wakiendelea hivyo, the Late Magufuri ataibuka shujaa mioyoni mwa wote wenye akili na kulipenda Taifa letu.

Siku zote, ubaya alioutenda kiongozi kwa wananchi hufutwa na ubaya unafuatia kwa kiongozi mwingine!

Haya yanayoendelea Sasa yakiendelea hivi yanavyoendelea, the Late Magufuri ataonekana mwema na mtu aliyependa maendeleo machoni pa waliowengi kuliko mrithi wake wa sasa!

Time will tell
Asbh yote hii unaandik ujinga
Aisee....nimesikitika sana
 
Wakristo tunasema "apumzike kwa Amani"

Naamini Kuna kundi la watu wanakereka kusikia habari za Magufuri, itabidi mzoee kiongozi huwa haishi kuongelewa

Binafsi niwe muwazi mapema tu, Mimi nimiongoni mwa waliosema, "Asante Mungu kwa kuitetea Tanzania" baada ya tangazo lile.

Alikuwa mtu fulani ambaye ni kama alitamani nchi yote hii aishi yeye na watu atakao watengeneza yeye wa kumuelewa na kufanana naye.

Aliongoza Taifa Kama familia yake tena yenye watoto under 18 ambao maamuzi yote watasubiri kwa Baba. Kwa mfano:-

1. Kujifanya yeye ndio mjuaji wa kila kitu na wengine wote hawajui chochote, wachache tu ndo wangemfurahia

2. Kuongea kwa dharau anapoongelea maslahi ya watu hasa watumishi wa umma, ni hakika alitufanya tutende dhambi ya kumchukia

3. Kuwaaminisha kundi la maskini kwamba yeye ndo mwema pekee na anatetea maslahi yao kwa kuwakomesha wanyang'anyi waliojimilikisha mali za Tanzania wakati huo huo pesa ikiondoka mtaani na kufungiwa kwenye vyumba anavyovifahamu yeye, wenye akili wasingemuelewa

4. Ubabe, dhihaka kwa viongozi wenzake, kufoka, matusi na kupenda kusikia mazuri tu, hili nalo halikupendeza machoni pa wengi

Hayo na mengine mengi yalimfanya ajiwekee madoa doa kwenye uongozi wake kwa makusudi kwani uwezo wa kutoyafanya na akafanikiwa alikuwa nao

Hata hivyo pamoja na mengi aliyofanya ambayo hayakuwapendeza waliowengi wakiwemo wasaidizi wake kwasababu za wazi na zisizowazi, najiuliza yafuatayo:-

1. Je, ndio sababu reli ya SGR isikamilishwe kwa wakati!?Wanamkomoa marehemu au Wananchi?

2. Bwawa la Nyerere tunasikia sio kipaumbele tena, kwani alikuwa anawajengea wanachato au Wananchi wote!?

3. Tunaona "wakoloni" waliopewa jina zuri la "wawekezaji"(Kwa kukopa maneno ya Professor mmoja mjumbe wa kigoda Cha Mwalimu Nyerere) wakimiminika kila Kona kwenye kila sekta huku wazawa wakiwekwa pembeni. Hapa napo tunalipiza kwa aliyofanya marehemu?

4. Bei za vyakula na bidhaa nyingine zinapanda kila baada ya dk kadhaa Kama zile biashara za kina Ontario za forex na utetezi umekuwa vita vya Ukraine na Urusi badala ya kusema ukweli vyakula tulivigawa kwa majirani zetu kwa bei chee Sasa tunahaha!

5. Ili kumkomoa, hatuoni taabu kupanda daladala "Europe" kwa safari ambayo ingeweza kuishia ubalozi uliopo nchini kwa kusaini kitabu Cha maombolezo japo na bendera ilishushwa nusu mlingoti. Bado hii haikutosha tutapigaje selfie na jeneza tusipoenda!?

6. Waliokuwa wanajinasifu kuwa watetezi wa wanyonge wameona Sasa wawanyonge wanyonge hao na kamba ya TOZO ilizongushwa kila Kona kiasi Cha kukosa pa kupumlia. Hapa napo wanamkomoa marehemu?

Hayo na mengine mengi wanayoendelea kufanya bila kufikiri vizuri, yanafuta taratibu madoa ambayo mwendazake alijiwekea mwenyewe na kwa kiasi kikubwa yakamchora Kama kiongozi aliyenyanyasa wenzake

Wakiendelea hivyo, the Late Magufuri ataibuka shujaa mioyoni mwa wote wenye akili na kulipenda Taifa letu.

Siku zote, ubaya alioutenda kiongozi kwa wananchi hufutwa na ubaya unafuatia kwa kiongozi mwingine!

Haya yanayoendelea Sasa yakiendelea hivi yanavyoendelea, the Late Magufuri ataonekana mwema na mtu aliyependa maendeleo machoni pa waliowengi kuliko mrithi wake wa sasa!

Time will tell


Pamoja na mabaya yake yote Ila Yule jamaa ni kiongozi na alifanya mambo ambayo Marais wote waliopita na wanaokuja watashindwa kufanya

Alifanya urais uwe URAIS na sio kuwa taasisi Tu ambayo mtu anaweza kuiongelea vyovyote vile

Alifanya udhubutu wa miradi mikubwa ambayo inaonekana Kwa macho na sio kwenye vitabu tu

Yes uwez kupendwa na kila mtu very possible hata ww kama Una watoto 3 basi mmoja hakupendi so ni Jambo la kawaida

Yule jamaa alikuwa ni RAIS na Africa inataka mtu wa Aina yake
 
Back
Top Bottom