Wafanya biashara wanamlilia JPM, wakulima wanamlilia JPM, madereva wanamlilia JPM, Watanzania wanyonge wanamlilia JPM. Kwa ujumla hakuna kundi lisilomkumbuka.
Nenda hospitali zote uwaulize watu jinsi huduma zilivyo za ovyo. Wote hao wanamlilia JPM.
Mimi najiuliza, kwa nini JPM anazidi kuwa na nguvu hata kama hayupo Duniani?
Nenda hospitali zote uwaulize watu jinsi huduma zilivyo za ovyo. Wote hao wanamlilia JPM.
Mimi najiuliza, kwa nini JPM anazidi kuwa na nguvu hata kama hayupo Duniani?