Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Magufuli alisisitiza tuombe kwa mungu na kama ametupangia kufa kwa Corona, tutskufa tu,ulikua uamzi wa kijasiri kweri kweriNdo kusema corona si ugonjwa unaoua bali watu kwenye nchi za wenzetu walikufa kutokana na kutangaziwa uwepo wa ugonjwa huo na kuwekwa lockdown na kwamba sisi tulisalimika kutokana na msimamo wa Magufuli. Seriously?