Mwizi halali yake kupigwa na kuchomwa moto, mie sitomuonea huruma hata siku moja mtu alioiba kuchomwa moto.
Shem wangu nina dini na naheshimu dini na sheria. Laiti kama uliwahi kuingiliwa na wezi kwenye nyumba yako au kukabwa tu kunyang'anywa kitu kwa ukatili huwezi kuwatetea hawa watu, wezi ni watu wabaya mno mie sina hamu nao, wanaweza kukurudisha mtu kwenye umaskini hawa. Naongea hivi kwa kuwa lilishanipata. Kabla ya hapo nilikuwa nawahurumia mno, lkn baada ya kutaka kutolewa roho na hawa watu sina hata huruma nao.Shem nilikuwa sijui kama huna dini wala hujali utawala wa sheria....nimekusoma leo! akina Rostam et al wanaweza pata hii adha?