Haya yametokea awamu ya tano tu!

Haya yametokea awamu ya tano tu!

Kwisaro

Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
30
Reaction score
45
Nafkr mambo yanayoendelea ya wabunge na madiwani kuachia nyadhifa zao kisa tu kuwa na mahaba na mkuu wa kaya inabidi ujiulize!! Ni kweli ni haki kikatiba mtu anao uhuru wa kuhamia chama chochote akitakacho.Lkn inaathari kwa sisi walipa kodi pesa ambazo zingeenda kwenye maendeleo ya taifa hili ambalo lina changamoto kibao leo zinarudia uchanguzi tena kwa viongozi walewale waliojiuzuru nafasi zao. Kuna umuhimu wa kuirudisha rasmi ya katiba ya jaji warioba mezani ili kuepusha mambo kama haya yasiendelee.
 
Wewe ulitaka waendelee kukaa huko huko? Kumbuka nafsi ndio mwamuzi. Amani katika roho ndio msingi wa maisha ya kila binadamu.
 
Ni maajabu ya dunia, jimbo kutumia bilioni kugharamia chaguzi zisizo na tija wakati hio billion ingefanya mageuzi makubwa ya kiuchumi jimboni hapo.
 
Back
Top Bottom