MATATIZO SABA
Member
- Sep 28, 2011
- 8
- 4
Jamani nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muendelezo wa vipindi vinavyo rushwa na MLIMANI TV kila siku saa 3. kuhusu jimbo la arumeru jamani jamani Jamani kweli watanzania Wenzetu wanaishi maisha magumu kiasi hiki maji hakuna vyura hospitali mmmm. Tanzania hii hii.