Haya weee ushapata utakalo....

Haya weee ushapata utakalo....

odo usicheke sana bana!
mahabat yanauma ujue!
ila bora ucheke manake bi dada anasema anataka raha zake!
AWAAAAAAAAAAAAAAAAAAACHWE!
maisha yenyewe mafupi shurti raha ujipe mwenyewe...kwanza nakusemesha huku pembeni dada mbona unanikaushia jamanii....
 
Mapenzi haya yatafanya watu wagongwe na magari barabarani. Ama kweli si wote waongeao peke yao barabarani ni vichaa.
 
Afadhali na mimi nipumdhike,naona kama uongo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
....Aaahah cheriefrance....unaweza kuwa single usiwe available kweli.....? usiseme hivyooo...
hehehe ndio bwana nipo single lakini sitaki mahusiano usijifanye hamnazo kumkichwa na wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom