Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Last edited by a moderator:
Kaizer mimi sijambo,halafu mbona nakumiss sana siku za hivi karibuniHujambo lakini Heaven on earth?:wave:
Unajua nini kama nikikupenda nitakupenda kwa dhati na nikikuchoka nakuchoka haswaaaaaa.... lkn sitoweka maisha yangu rehani kwaajili ya upuuzi huu...sasa we nenda tu....tusijuaneeeeeee wala usije kunitafuta tena :smile-big:Hebu niache nijilie raha.....:smile-big:
Heaven on earth unajua pa kunipata LOL hebu do ze nidiful bana🙂Kaizer mimi sijambo,halafu mbona nakumiss sana siku za hivi karibuni
Heaven on earth unajua pa kunipata LOL hebu do ze nidiful bana🙂
he! Jirani yangu ni nani miss strong?
Jirani zako huwajui @kaizer? Basi jiwe limesharushwa ukisikia yalaaaaaa ujue limempata.
pamoja na bidada kuachwa njia PANDA.....haya yote ya nini???.....mbona wengi wameumizwa tu humu na wamepiga kimya.....najaribu kutafakari haya mambo nashindwa kuelewa.......ukiumizwa unakaa kimya lakini kulilia uku unajionyesha kuwa hauko strong kuukubali ukweli.....mapenzi yanaumiza lakini usimwonyeshe huyo mtu kuwa umeumia kwa kurusha vijembe.......binafsi bora nilie...nikonde...lakini nikitoka nje mtu asijue nini kinanisibu....loh tuko tofauti ......Mungu kweli fundi...mweeeehNaona umeamua kumpasha live kwenye jiko la mchina, unapoelekea utamtaja na jina.... Pole yako kwa kuachwa njia PANDA!!!!
odo usicheke sana bana!
mahabat yanauma ujue!
ila bora ucheke manake bi dada anasema anataka raha zake!
AWAAAAAAAAAAAAAAAAAAACHWE!
Hahahahahahahahahaha lol kweli jf noumaaa yaani kwa jiko la mchina mtu kapashwaNaona umeamua kumpasha live kwenye jiko la mchina, unapoelekea utamtaja na jina.... Pole yako kwa kuachwa njia PANDA!!!!