Mpunguzie style aache umbeaMwanaume kifua
Mimi au wewe?Mpunguzie style aache umbea
Sisi tuliooa wenye Masters tunanyooka, alafu ukute ni Upande wa sheria, utajutalabda kama ulioa mtt wa la 5
Komaaa komaa mzee huo ni msalaba wako hadi goligotaSisi tuliooa wenye Masters tunanyooka, alafu ukute ni Upande wa sheria, utajuta
pole sana braza, huyo ndio chaguo lakoSisi tuliooa wenye Masters tunanyooka, alafu ukute ni Upande wa sheria, utajuta