Mkuu ina maana hapo ni UDOM Chuo kikuu cha kata?:tape:Udooooooom....mnaboa banah aaaaah
ndo ivo mkuu,niko chuo cha kata hapa halafu vyoo na mabafu n machafu balaa!yan ukiingia tu unakutana na maji machafu mlangoni!!BIG REZATS NOOOW!Mkuu ina maana hapo ni UDOM Chuo kikuu cha kata?:tape:
havard ya nani?acha utani mkuu,km upo huku au km unaweza kutembelea chunguza nilichokwambia halaf useme tena ni havard...sasa udom imeingiaje hapa mkuu?hata uichukie ile ndio havard of East Africa.
Mkuu ina maana hapo ni UDOM Chuo kikuu cha kata?:tape:
ndo km udom mkuuUtanivunja mbavu yaani kumbe kuna chuo kikuu cha kata
Udom ip kaka unayoizungumzia ww,,mbona kwe2 bata tuUdooooooom....mnaboa banah aaaaah
kwani hii post mbn haijatupiwa jukwaa la elimu?niko udom na ninachokisema namaanisha,kabla sijakujibu zaidi....una mume?we nelly nelly ungechangia huko kweny jukwaa la elimu cyo hapa. eti na wewe upo chuo gani na unambie quality zipi unique ambazo mwanaUDOM hana as an individual na ww unazo au ww ndo wale wa BRN unakalia vijiwe vya majungu na kuwaongelea wenzako badala ya kujenga taifa. mbna kuna colleges, institutes na universities 43 tanzania na huzijadili. shame on u! get bussy fanya yako!
education huku mkuu,usafi zero kabisa,tushalalamika sana bdo kmya,hadi 2gome?Udom ip kaka unayoizungumzia ww,,mbona kwe2 bata tu