Haya sasa wanazuoni...

Haya sasa wanazuoni...

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
1016511_10151463187432611_1838950877_n.jpg
 
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: so nyc
 
Mkuu ina maana hapo ni UDOM Chuo kikuu cha kata?:tape:
ndo ivo mkuu,niko chuo cha kata hapa halafu vyoo na mabafu n machafu balaa!yan ukiingia tu unakutana na maji machafu mlangoni!!BIG REZATS NOOOW!
 
sasa udom imeingiaje hapa mkuu?hata uichukie ile ndio havard of East Africa.
 
sasa udom imeingiaje hapa mkuu?hata uichukie ile ndio havard of East Africa.
havard ya nani?acha utani mkuu,km upo huku au km unaweza kutembelea chunguza nilichokwambia halaf useme tena ni havard...
 
we nelly nelly ungechangia huko kweny jukwaa la elimu cyo hapa. eti na wewe upo chuo gani na unambie quality zipi unique ambazo mwanaUDOM hana as an individual na ww unazo au ww ndo wale wa BRN unakalia vijiwe vya majungu na kuwaongelea wenzako badala ya kujenga taifa. mbna kuna colleges, institutes na universities 43 tanzania na huzijadili. shame on u! get bussy fanya yako!
 
we nelly nelly ungechangia huko kweny jukwaa la elimu cyo hapa. eti na wewe upo chuo gani na unambie quality zipi unique ambazo mwanaUDOM hana as an individual na ww unazo au ww ndo wale wa BRN unakalia vijiwe vya majungu na kuwaongelea wenzako badala ya kujenga taifa. mbna kuna colleges, institutes na universities 43 tanzania na huzijadili. shame on u! get bussy fanya yako!
kwani hii post mbn haijatupiwa jukwaa la elimu?niko udom na ninachokisema namaanisha,kabla sijakujibu zaidi....una mume?
 
Back
Top Bottom