Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,613
Kuna kitu kipya kwa wenzetu kwenye hizo open marriages

kinaitwa POLYAMORY... Kwa ufupi ni kuwa mna ndoa kama kawa
na mna sex kama kawa lakini mume au mke anaweza kuwa
na mpenzi mwingine ambae anatambulika rasmi na sikunyingine
ana lala hapo kwenu na hata kuhamia ikibidi

na kuna mijitu humu inasemaga wazungu sijui waaminifu

sasa someni hii muone.....na jinsi waafrica tunavyowaabudu
wazungu itakuja tu bongo soon...

Couple Has An Open Marriage So Complicated, It's Hard To Keep Track
 
Uaminifu maana yake nini?????hasa katika swala kama hili.........,bado nauona uaminifu.
 
Hiyo mbona imekaa fresh ilimradi wailete na dawa ya HIV....
 
Uaminifu maana yake nini?????hasa katika swala kama hili.........,bado nauona uaminifu.

uaminifu unauona nikikuoa na kuleta mrembo mwingine tuishi nae?
au sijakuelewa?
 
Uaminifu maana yake nini?????hasa katika swala kama hili.........,bado nauona uaminifu.

uaminifu ulikuwa zamani siyo sasa!
mm nawapa big up!
ukijua wazi kuwa mwenzi wako ana mwingine ni vizuri zaidi kuliko akijificha!!!!
 
Mimi nimeona nisawa na mke wa pili kamleta ndani.......angetoka nae huko bila mimi kujua ningesema huyo si mwaminifu.Hapa ni mtu kuwa muwazi katika jambo lako kitu ambacho wengi wetu wa bongo hatuwezi.


Unanipa hamu nilete posa uwe mke wa pili ha haa haa
but hii haina limit naweza ongeza watatu pia..kwa uwaazi kabisa
 
uaminifu ulikuwa zamani siyo sasa!
mm nawapa big up!
ukijua wazi kuwa mwenzi wako ana mwingine ni vizuri zaidi kuliko akijificha!!!!

Zamani ipi hyo?????wengi wetu watu weusi hatupo wazi katika mabo yetu na zaid kupenda kuzunguka mbuyu.......!!!!!
 
Unanipa hamu nilete posa uwe mke wa pili ha haa haa
but hii haina limit naweza ongeza watatu pia..kwa uwaazi kabisa

Penzi haligawanyiki......kwanini bi wadogo wengi wao wanadharau wake wa kwanza???anajua kabisa mapenzi yamepungua ndo maana kaletwa yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…