whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
Ilikuja habari hapa na watu kuanzia kusifia mwanamama aliyekuwa kwenye baiskeli na kuuonyeshea msafara wa Raisi wa USA kidole cha kati, sasa huyu mama Juli Briskman amefukuzwa kazi kwa kitendo hicho, Waafrika hatuwaelewi Wazungu ingawaje tunafikiri tunawaelewa!
Huyo mama alipata mashabiki hapa kwamba ni demokrasia na sisi tuige, lkn wakati huwo huwo hao wanaosifia kwamba ni demokrasia hakuna alitetayari kumuonyeshea Babake kidole cha kati.
Source: Woman who gave Donald Trump the middle finger fired from her job
Hili tukio linasaidia nini katika kukuza uchumi wako binafsi? Au tukio hili lina mchango wowote kwenye sera yenu mbovu yenye upofu na uziwi ya Vi -wonder?
Hujui kilichoandikwa wala hujui kusoma (believe me hayo ni mambo mawili tofauti)
Pole sana kwa stress.