Haya sasa, aliyeonyesha dole msafara wa Trump afukuzwa kazi!

Kwanza huku Tz Raisi akiwa anapta huwezi katiza barabara hadi apite ukidhubutu utaitambua dunia ama kupoteza maisha
Na hii ndiyo hoja kina Magonjwa Mtambuka na Mwenzake Barbarosa hawaioni. Lakini pia aliyefanya hivyo siyo Trump wala Serikali bali ni Kampuni alimokuwa anafanyia kazi, jambo ambalo ni la kibinafsi zaidi kuhusu mtazamo wa huyo mwenye hiyo Kampuni.

Jambo la kutia moyo ni kwamba kwanza huyo mwana mama hakukamatwa kwa "kuingilia" huo msafara. Hakukamatwa na Polisi wala walinzi wa Rais kwa kitendo chake alichofanya. Sasa hao jamaa zetu watueleze kwa hapa Tanzania inawezekana ukafanya hivyo na ukabaki salama?

Sasa wanatakaje kuonesha kuna mfanano na Marekani wakati hapa kwetu watu wanakamatwa kwa kutofautiana tafsiri tu na serikali kuhusu Takwimu?
 
Ilikuja habari hapa na watu kuanzia kusifia mwanamama aliyekuwa kwenye baiskeli na kuuonyeshea msafara wa Raisi wa USA kidole cha kati, sasa huyu mama Juli Briskman amefukuzwa kazi kwa kitendo hicho, Waafrika hatuwaelewi Wazungu ingawaje tunafikiri tunawaelewa!

Huyo mama alipata mashabiki hapa kwamba ni demokrasia na sisi tuige, lkn wakati huwo huwo hao wanaosifia kwamba ni demokrasia hakuna alitetayari kumuonyeshea Babake kidole cha kati, ...

she was not fired because she flipped him off (kamwonyesha dole la kati). she has been fired because she posted the picture on a her social media account. and it's only because Virginia has "at will" employment laws where you can fire any body even for frowning at the boss. ingekuwa state nyingine she wouldn't have been fired.

Don't make it look like DP said she must be fire. hao mashabiki aliowapata hapa are rightly placed and I were to speak for them I'd say no backing off. zimeni hizi kiki.
 
Jambo la kutia moyo ni kwamba kwanza huyo mwana mama hakukamatwa kwa "kuingilia" huo msafara. Hakukamatwa na Polisi wala walinzi wa Rais kwa kitendo chake alichofanya. Sasa hao jamaa zetu watueleze kwa hapa Tanzania inawezekana ukafanya hivyo na ukabaki salama?
Mkuu hata akiingia Lissu leo akawa Rais wa JMT hautaweza ingilia msafara wake kiurahisi hiyo ni security detail inavyotaka!..ulinzi wa POTUS sio sawa na ulinzi wa Rais wetu!..Hata hapo Kenya hawawezi sogelea msafara kiasi hicho!..
Labda nionyeshe security detail ya Rais gani wa Africa inayoweza kusogelewa hivyo!..
 
Mkuu hata akiingia Lissu leo akawa Rais wa JMT hautaweza ingilia msafara wake kiurahisi hiyo ni security detail inavyotaka!..ulinzi wa POTUS sio sawa na ulinzi wa Rais wetu!..Hata hapo Kenya hawawezi sogelea msafara kiasi hicho!..
Labda nionyeshe security detail ya Rais gani wa Africa inayoweza kusogelewa hivyo!..


Eti Kenya huwezi kusogelea msafara wa Rais. Kwanini unataka tufanane na Kenya?????

Tunataka kufanana na the best case scenario, sio godawful Kenya, the least common denominator.

Sugu aliwaambia bungeni C.C.M. wamepiga marufuku TBC kuonyesha bunge wakitoa mfano wa Vietman sijui Malysia bunge nako halionyeshwi. Sugu ambae ana exposure ya kuishi mbele akawaambia are you crazy or what? Kuna nchi ngapi duniani, kwa nini mnatulinganisha na Vietnam na Cambodia?

Eti hata Kenya huwezi kuingilia msafara wa Rais, nani kasema tunataka kuingilia msafara wa Rais?

Mwananchi kusubiri barabarani masaa mawili wakati Rais bado yuko bafuni Ikulu is selfish tyranny!
 
5164237e36a09facd4764460a8f1fb28.jpg
 
Ilikuja habari hapa na watu kuanzia kusifia mwanamama aliyekuwa kwenye baiskeli na kuuonyeshea msafara wa Raisi wa USA kidole cha kati, sasa huyu mama Juli Briskman amefukuzwa kazi kwa kitendo hicho, Waafrika hatuwaelewi Wazungu ingawaje tunafikiri tunawaelewa!

Huyo mama alipata mashabiki hapa kwamba ni demokrasia na sisi tuige, lkn wakati huwo huwo hao wanaosifia kwamba ni demokrasia hakuna alitetayari kumuonyeshea Babake kidole cha kati, ...
Hapa Trump na Serikali yake wamehusikaje? Mbona alikuwa anafanya kampuni binafsi iitwayo AKIMA na amefukuzwa kwa kuwa ile picha ya TUSI ilionekana kwenye akaunti zake za Twitter na Facebook? Acha kupotosha.

Quote:
According to the White House pool report, as reported in The Guardian, Trump's motorcade "overtook a female cyclist, wearing a white top and cycling helmet, who responded by giving the middle finger."

When the cyclist, Juli Briskman, went to work that Monday, she informed the HR department of her employer, government contractor Akima, that she was the woman in the now-famous photo.

The next day, she was fired. Akima said that because she had used the photo on her Facebook and Twitter accounts, she was in violation of the company's social media policy.
 
Back
Top Bottom