MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,644
- 33,443
- Thread starter
- #41
Asante mkuu. Tuendelee kujenga nchiMTAZAMO Kwanza ongera kwa kupost Uzi Mara nyingi wewe sio mtu wa kupost.Ningependa jamiiforum iwe na watu kama wewe wanaoleta facts na unadeserve kuitwa great thinker umeleta hoja nzuri Cha ajabu mashabiki uchwara a.k.a small mind badala la kujibu hoja yako kwa hoja wao watajikita kukutukana zaidi