Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

MTAZAMO Kwanza ongera kwa kupost Uzi Mara nyingi wewe sio mtu wa kupost.Ningependa jamiiforum iwe na watu kama wewe wanaoleta facts na unadeserve kuitwa great thinker umeleta hoja nzuri Cha ajabu mashabiki uchwara a.k.a small mind badala la kujibu hoja yako kwa hoja wao watajikita kukutukana zaidi
Asante mkuu. Tuendelee kujenga nchi
 
Kaa ukimjua vizuri Lissu siyo level ya kina Polepole. Ni Kama nawahurumia CCM Sana. Rais Magufuli tayari alshamaliza kampeni zake kwa kuzunguka nchi nzima bila kupingwa. Sasa Ni zamu ya Lissu kusikilizwa. Wanasema kipya kinyemi
Hii nadharia nliwah kuifikiri.... watanzania huwa ni wepes kusahau mambo na ni wepesi kubadilishwa fikra.... so inawezekana km cdm wakiwa strategic wakawa everywhere at the same time(nadhan unapata mambo ya kiki) watanzania wakawasikia kila wakati... ni rahisi sana kuwakamata kwa kuwa ccm hawana jipya zaid ya ndege, flyover, sgr, stigler bas... lakin ktk uchumi wa wananchi wamechemsha na inaweza kuwa hoja kubwa sana...
 
Ndiyo umefikia hapa! Unajitoa ufahamu na kujidhalilisha namna hii? CCM wana mbinu gani zaidi ya mbinu ya ''dola''? Hebu tuwe fair: CCM bila nguvu ya dola itapata shida kubwa sana kushinda uchaguzi.
Daah nimemcheki jamaa nikakumbuka ule msimamo wake huko nyuma, awali kidogo nilielewa labda kwakua ni Lowassa, leo ni Lissu lakini bado yupo palepale!

Hili linanipa mawazo kuwa je ni kweli ilikua Lowassa au watu walifika bei?

Nimemkubuka Dr mihogo!
 
Daah nimemcheki jamaa nikakumbuka ule msimamo wake huko nyuma, awali kidogo nilielewa labda kwakua ni Lowassa, leo ni Lissu lakini bado yupo palepale!

Hili linanipa mawazo kuwa je ni kweli ilikua Lowassa au watu walifika bei?

Nimemkubuka Dr mihogo!
We jamaa bana, sasa hapa mambo 10 na hayo wapi na wapi
 
Mkuu kumbe huyu jamaa ''unamnyaka'' vizuri kama mimi! Huyu ni Chadema wa zamani aliyejeruhiwa na maamuzi ya Lowassa kujiunga mwaka 2015. Alisubiri wee Chadema ife lakini ameona baada ya Lissu kurudi na kila mtu amekuwa kama amepewa uhai mpya hivyo roho inamuuma.
Namnyaka sana huyu mwandani wa Dr mihogo! Na nina imani Dr mihogo asingeingiwa na roho ya Yuda kupitia yule Yezebeli asingesaliti mapambano kwani tuliopitia medani za vita tunajua ktk kutafuta silaha za kumtandika adui huwa hatuchagui wala kubagua!

Dr mihogo asingeuacha upinzani kwa sababu za kitoto namna ile isipokua yule Yezebeli anaewaongoza akina MTAZAMO hadi leo!

Roho inawauma sana kuona upinzani unaamka! Walifikiri upinzani ni watu kumbe ni wakati!
 
"joto la uchaguzi" litakuunguza wewe peke yako mkuu,wananchi walio wengi hawafatilii vijembe na kebehi.Kura zitakustaajabisha sana na huenda ukaachana na siasa

Sio wananchi, sema wanaccm ndio hawafuatilii vijembe vya Lisu.
 
Wakuu,

Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi
Uko sahihii Ila hakunaga uchaguzi bongo Bali Ni kufurahisha mabeberu

Suluhisho Ni katiba Mpya

Poteza muda wako kupanga foleni kuhalalisha uchafuzi
 
Hivi huyo magufuli takwimu gani zinambeba?

Hali ya kiuchumi Kwa wananchi ikoje? Kwa wakulima wa mbaaazi, korosho, tumbaku takwimu zikoje?

Suala la ajira kwa vijana kafanya nini? Ameua uwekezaji na sekta binafsi kaishia kufanya maelfu ya vijana kuwa jobless na watu kupoteza ajira

Ameua watu, kubambikia watu makesi, kuonea watu mpaka hata watoto wadigo wanajua

Ameharibu biashara kupelekea watu kufunga biashara zao na wengine kufirisiwa na mabenki?

Huyo magufuli kafanya ya nini zaidi ya haya? Njia ni nyeupe sana kwa Tundu Lissu mwaka huu.
Basi hatutamchagua magufuli, tutachagua ccm
 
..TL anatakiwa ajielekeze ktk kuwaelimisha wapiga kura jinsi gani ataboresha hali zao za kiuchumi.

..kwa mfano, kama ni bodaboda basi aeleweshwe mabadiliko yatakayomgusa na kumuwezesha kutoka kuwa na bodaboda moja kwenda mbili.

..kama ni kijana aliyemaliza masomo, basi anatakiwa aeleweshwe mabadiliko yatakayotokea ambayo yatamuwezesha siyo kupata ajira tu, bali kupata ajira anayoipenda au kuitamani.

..kama ni mzazi ana mtoto shuleni ahakikishiwe kwamba elimu itakayoipata mwanawe itamuwezesha kujitegemea na kuwa msaada kwa wazazi wanaomsomesha as long as anajituma. Na kwamba elimu na maarifa atakayoyapata yatamuwezesha kufanikiwa ktk soko la ajira za kazi ndani na nje ya Tanzania.

..WAKULIMA nao waelimishwe jinsi gani wataweza kukua. Wakulima wadogo waelewezwe mipango itakayowawezesha kuwa wakulima wa kati. Wakulima wa kati waeleweshwe mipango itakayowawezesha kupanda daraja na kuwa wakulima wakubwa.

..Kwa maoni yangu, kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa Tundu Lissu kutatokana na aina ya ILANI ya uchaguzi waliyoiandaa CDM na wasaidizi wake wa kampeni wanamuandaa vipi. Pamoja na umahiri wa TL ktk kujenga hoja na kulitawala jukwaa CDM wawe makini kumuongoza ktk kuzungumza yale yanayowagusa wananchi.
 
..TL anatakiwa ajielekeze ktk kuwaelimisha wapiga kura jinsi gani ataboresha hali zao za kiuchumi.

..kwa mfano, kama ni bodaboda basi aeleweshwe mabadiliko yatakayomgusa na kumuwezesha kutoka kuwa na bodaboda moja kwenda mbili.

..kama ni kijana aliyemaliza masomo, basi anatakiwa aeleweshwe mabadiliko yatakayotokea ambayo yatamuwezesha siyo kupata ajira tu, bali kupata ajira anayoipenda au kuitamani.

..kama ni mzazi ana mtoto shuleni ahakikishiwe kwamba elimu itakayoipata mwanawe itamuwezesha kujitegemea na kuwa msaada kwa wazazi wanaomsomesha as long as anajituma. Na kwamba elimu na maarifa atakayoyapata yatamuwezesha kufanikiwa ktk soko la ajira za kazi ndani na nje ya Tanzania.

..WAKULIMA nao waelimishwe jinsi gani wataweza kukua. Wakulima wadogo waelewezwe mipango itakayowawezesha kuwa wakulima wa kati. Wakulima wa kati waeleweshwe mipango itakayowawezesha kupanda daraja na kuwa wakulima wakubwa.

..Kwa maoni yangu, kufanikiwa au kutokufanikiwa kwa Tundu Lissu kutatokana na aina ya ILANI ya uchaguzi waliyoiandaa CDM na wasaidizi wake wa kampeni wanamuandaa vipi. Pamoja na umahiri wa TL ktk kujenga hoja na kulitawala jukwaa CDM wawe makini kumuongoza ktk kuzungumza yale yanayowagusa wananchi.
Kudos mkuu, sasa hizi ndio hoja za kujenga..
 
Kwa hoja hii, CCM inawazidi CDM ni kitu kimoja tu.....wizi wa KURA.

Kama kweli CDM na wapinzani wote wa KWELI watalidhibiti hili basi dola ni yako mwezi wa kumi.
 
Maandishi mengi useless...... hakuna lolote.

Ulichokiandika hapa ni pambio za kuisifia sisiem.


Wakuu,

Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi
 
Wakuu,

Haya ni mambo 10 niliyoona mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi.

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki majimboni na udiwani.Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyarandu ili kumshape Lissu kama mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea ubunge na udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) JPM takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko Chadema ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) JPM amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na makatibu tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. JPM pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi
Very objective observation or points ila Ufipa watapinga itadhani ni matusi kumbe ni silaha umewapa ya kujilinda. Wacha wabaki mtandaoni na matamko ya jogoo watastuka wenzao wapo mbali mno.
 
Hivi huyo magufuli takwimu gani zinambeba?

Hali ya kiuchumi Kwa wananchi ikoje? Kwa wakulima wa mbaaazi, korosho, tumbaku takwimu zikoje?

Suala la ajira kwa vijana kafanya nini? Ameua uwekezaji na sekta binafsi kaishia kufanya maelfu ya vijana kuwa jobless na watu kupoteza ajira

Ameua watu, kubambikia watu makesi, kuonea watu mpaka hata watoto wadigo wanajua

Ameharibu biashara kupelekea watu kufunga biashara zao na wengine kufirisiwa na mabenki?

Huyo magufuli kafanya ya nini zaidi ya haya? Njia ni nyeupe sana kwa Tundu Lissu mwaka huu.

tatizo nyie mnadhan lissu ndo upinzani peke yake, vyama viko vingi aisee usidhan kura za ukawa ni zenu! sasahv mnatakiwa mjibebe kwahio mtegemeee kura kama kipindi cha mbowe anagombea kama sio 20% ya kura zote haiwezi zidi apo:

suala la uchumi linaeleweka kabisa na hakuna mtu duniani hajui tumeingia uchumi wa kati,NB: haiwezekani wote kutoka kimaisha na haitakaa iwezekane na ndo maaana ya capitalism means uchumi unashikwa na watu wachache

kama uko kwenye ajira saaahv mshukuru sana magufuli na umuombee kama unataka kujua unemployment angalia USA after corona! ukishamaliza kufuatilia uje tena apa kutoa takwimu

2015 magufuli alishinda ingawa vyama vya upinzani viliungana , je saaahv mtaweza na kila mtu yuko kivyake NB: vyama vingine vimeungana na ccm, mf MREMA, kwa kifupi nyie ni wa kuonea huruma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom