stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,383
- 3,494
Hii nadharia nliwah kuifikiri.... watanzania huwa ni wepes kusahau mambo na ni wepesi kubadilishwa fikra.... so inawezekana km cdm wakiwa strategic wakawa everywhere at the same time(nadhan unapata mambo ya kiki) watanzania wakawasikia kila wakati... ni rahisi sana kuwakamata kwa kuwa ccm hawana jipya zaid ya ndege, flyover, sgr, stigler bas... lakin ktk uchumi wa wananchi wamechemsha na inaweza kuwa hoja kubwa sana...
uchumi wa tz uko stable and tsh ndo pesa pekee afrika ilioenda head to head na usd mwaka huu bila kuterereka! swala la maskini ni kawaida na haiwezekani wote wakafanikiwa lazima kue na gapes ili maisha yaende smooth, serikali haishindwi kuchapisha noti kumpa kila mtu but kanuni za economics lazima kue na matabaka ndipo uchumi usogee