Wiki kama tatu zimepita nimewahi kuuliza kuhusiana na picha za mawe nilizoziweka hapa wengi walishauri niendelee kuhimiza vijana wachimbe zaidi ili kupata madini mengine, hivyo nami nilifanya kama nilivyopewa maelekezo, Leo nimekuja tena mniambie haya mawe ni madini gani na bei yake iko vipi sokoni?, karibuni.