haya ndo mandhari ya same boys high school , for more info valencevictor@ymail.com

10313536_10202095762745253_7855226058810872989_n.jpg 10255849_10202095762905257_1565355201639398558_n.jpg 10341525_10202101703973780_7994322390708187393_n.jpg 10388117_10202095762425245_6030511083807942404_n.jpg



hiyo ndiyo same sec katika picha
 
Dah! hicho kitaa mie nilikipitia miaka ya 70 wakati ule Same ikiwa at top 10 kwenye performance. Miaka hiyo mambo yalikuwa poa sana.
 
i waz @ hurry xo i hve 2 write like dat infact ngeli napiga and dat z my subject na pia naomba utambue kuwa hapa tunachokihataji ni kuwa semantical straight foward ka unafatilia grammar utajiju bye!
Haaa.... utajiju..?? Haya ni madhara ya wanaume kushinda kibarazani na dada zao
 
I was there 1994--97. Wakati ule Headmaster ni Msuya akamwachia Mtera, discipline master alikua Mziray aka Kidudu mtu mwalimu alikua mkali huyu.
Alikua akinikuta mjini Same ananichunia wakati huo nimetoroka jumamosi akawa anamfata rafiki yangu anampa adhabu kumbe amemfananisha na mimi.
Shule ilikua tamu sana
 
Mlikua mnaenda mjini kucheki video.au video hazikuwepo.Nlisoma 1999-2002
 
mkuu ata Mimi nilipata bahati ya kusoma hapo,nimepanda sana kwakoko na kwenda masandare achilia mbali kwenda kwenye kuni na ile ndinga ya shule,unakumbuka shida ya maji pale same?
vipi kiwanja?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom