Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i waz @ hurry xo i hve 2 write like dat infact ngeli napiga and dat z my subject na pia naomba utambue kuwa hapa tunachokihataji ni kuwa semantical straight foward ka unafatilia grammar utajiju bye!
id yako inatamkwaje mkuuu
Dah! hicho kitaa mie nilikipitia miaka ya 70 wakati ule Same ikiwa at top 10 kwenye performance. Miaka hiyo mambo yalikuwa poa sana.
Same secondary school unforgettable memories.. Kwakoko, masandare, kishaa e.t.c. Hivi shida ya maji imeisha hapo????
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Haaa.... utajiju..?? Haya ni madhara ya wanaume kushinda kibarazani na dada zaoi waz @ hurry xo i hve 2 write like dat infact ngeli napiga and dat z my subject na pia naomba utambue kuwa hapa tunachokihataji ni kuwa semantical straight foward ka unafatilia grammar utajiju bye!
Mmh! Kazi ipo.i waz @ hurry xo i hve 2 write like dat infact ngeli napiga and dat z my subject na pia naomba utambue kuwa hapa tunachokihataji ni kuwa semantical straight foward ka unafatilia grammar utajiju bye!
How did you know JF?
Haaa.... utajiju..?? Haya ni madhara ya wanaume kushinda kibarazani na dada zao
vipi kiwanja?mkuu ata Mimi nilipata bahati ya kusoma hapo,nimepanda sana kwakoko na kwenda masandare achilia mbali kwenda kwenye kuni na ile ndinga ya shule,unakumbuka shida ya maji pale same?