Haya ndiyo maneno ya ziada tuliyoongea na shetani kule bustanini

Wanawake waliyokata tamaa utawajua tu wana kila vitu vya kuwapotosha wezao ili wafanane wanapokutana club.
 
Ile 7800 umeishaimaliza...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
majukumu hatuyakimbii cutelove but tnakimbia tabia maana nyie wanawake hamnaga kubwa wala dogo
 
wanaume tumeagizwa kuwapenda wake zetu, wanawake wameagizwa kutii waume zao

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…