Haya ndiyo maandishi ya kwenye Sanamu la Askari

Macos

JF-Expert Member
May 12, 2008
1,979
1,416
askari.png


Wandugu huyu Mbunge ameonekana kituko.kituko kwa kutaka Diamond awekwe badala ya Picha ya askari nadhani ni utoto zaidi..Ila mimi nimeona hoja yake inaibua mjadala mpana kuhusu picha ile na Tanganyika.
Jee sanamu ile ni ya nini ?

Huyu mbunge ametufunua wengi kuhusu ile sanamu. Ni sanamu ya askari wa malkia wa UK alopigana kumuondoa mzungu mwenzie wa Kijerumani. Yule ni mwafrika , mwafrika alotumiwa na wakoloni hivyo nawwza kumwita alikua upande wa wakoloni wapo askari wabeba miziko au wapagazi walo andikwa katika placard ya pale. Lakini hawa sio mashujaa wa Tanganyika hata kama ni waafrika...hawa walipigana upande wa mkoloni muingereza dhidi ya mkoloni mjerumani hawa ni puppets sio wazalendo.

Naibua mjadala huu kwa makusudi na mbunge yule amechokonoa hoja ya msingi kabisa japo yeye kaleta uchepe.

Wafrika wa nchi hii walopambana na wakoloni ni Kinjekitile, Chief Mkwawa, Bushiri. Hawa walipoteza maisha yao kuilinda Tanganyika dhidi ya Ukoloni hawa wanastahiki kabisa stutue zao kusima pale tena za dhahabu ...na mtag ndugu yangu Mwanahistoria Mohamed Said aje nae atie mchango wake kuhusu hili

Wakoloni walitufanya wanaserere hata historia zetu tukazitia kwenye kapu na kutukuza za kwao.

Mwanzo ilikua picha ya askari wa kijerumani Major Hermann von Wissmann Waingereza waliindoa pamoja na Ya Bismack na Karls Peter

Sanamu Hii ya sasa , Ilizinduliwa Rasmi Dar es salaam hapo ilipo Mwaka 1927. Sanamu Hii imetengenezwa kwa shaba na imechongwa na James Alexander Stevenson.

Kabla haija letwa Dar es salaam iliwekwa kwa maonesho katika Royal Academy , London.

Tujaribu kusoma historia , kama hujui historia ya sanamu ile unakua saw ana huyo Mbunge . Hapa tunatakiwa kuijadili ile sanamu kama jee ibaki kama ilivo ambapo askari Puppet alo pigana upande wa Mfalme wa Uingereza dhidi ya Kals Peter wa Ujerumani ina maana yoyote Kwetu.

Jee si wakati mzuri wa kuwaenzi Kinjekitile, Abushiri na Mkwawa walopigana dhidi ya Ukoloni ? Hii ni hoja moto

Hii ni mada moto , hard talk kila mtu ajadili hili .

ASK.jpg

 
aje aweke kwenye sanam la moshi walivo wachaga.hawampendi hahaha sijui ingekuaje
 
Wanachadema wanjua at ile ni sanamu ya wapigania uhuru wa tanganyika na wengine hudhani kuwa ile ni sanamu ya mayunga . Hili ni kosa kubwa hapa kwetu tunacho kizazi cha nyumbu kinacho haribu taifa letu

kama kiongozi wa vyama alipata division zero unategemea wafuasi wawe na akili gani ni suala la kupita pale na kuliangalia na kusoma:

ishu ya huyu diamond mtoboa pua mm siiungi mkono
 
Sanamu ni sanamu tu. Hapo yabadilishwe maneno tu yaliyoandikwa hapo. na kama tunadhani kuwa sanamu hiyo haituwakilishi kwa sababu hatukuwa na bunduki enzi hizo, basi ichongwe sanamu ya askari mwenye mkuki, na ngao au upinde na ngao...na maneno mahsusi, Basi! Habari ya Diamond, wamchongee Sanamu Tandale na Ulanga!
 
Wanachadema wanjua at ile ni sanamu ya wapigania uhuru wa tanganyika na wengine hudhani kuwa ile ni sanamu ya mayunga . Hili ni kosa kubwa hapa kwetu tunacho kizazi cha nyumbu kinacho haribu taifa letu

kama kiongozi wa vyama alipata division zero unategemea wafuasi wawe na akili gani ni suala la kupita pale na kuliangalia na kusoma:

ishu ya huyu diamond mtoboa pua mm siiungi mkono
Kwa hiyo ninyi wanaCCM (mlio na elimu na akili nyingi) nyote mnaunga mkono awekwe huyo Diamond mcheza show wenu wa kampeni, kwa madai yako ya aya mbili za mwanzo?
 
View attachment 348239

Wandugu huyu Mbunge ameonekana kituko.kituko kwa kutaka Diamond awekwe badala ya Picha ya askari ...nadhani ni utoto zaidi..Ila mimi nimeona hoja yake inaibua mjadala mpana kuhusu picha ile na Tanganyika.
Jee sanamu ile ni ya nini ?
Huyu mbunge ametufunua wengi kuhusu ile sanamu.
Ni sanamu ya askari wa malkia wa UK alopigana kumuondoa mzungu mwenzie wa Kijerumani. Yule ni mwafrika , mwafrika alotumiwa na wakoloni hivyo nawwza kumwita alikua upande wa wakoloni ...wapo askari wabeba miziko au wapagazi walo andikwa katika placard ya pale. Lakini hawa sio mashujaa wa Tanganyika hata kama ni waafrika...hawa walipigana upande wa mkoloni muingereza dhidi ya mkoloni mjerumani hawa ni puppets sio wazalendo.
Naibua mjadala huu kwa makusudi na mbunge yule amechokonoa hoja ya msingi kabisa japo yeye kaleta uchepe.

Wafrika wa nchi hii walopambana na wakoloni ni Kinjekitile, Chief Mkwawa, Bushiri.
Hawa walipoteza maisha yao kuilinda Tanganyika dhidi ya Ukoloni hawa wanastahiki kabisa stutue zao kusima pale tena za dhahabu ...na mtag ndugu yangu Mwanahistoria Mohamed Said aje nae atie mchango wake kuhusu hili..
Wakoloni walitufanya wanaserere hata historia zetu tukazitia kwenye kapu na kutukuza za kwao.

Mwanzo ilikua picha ya askari wa kijerumani Major Hermann von Wissmann Waingereza waliindoa pamoja na Ya Bismack na Karls Peter

Sanamu Hii ya sasa , Ilizinduliwa Rasmi Dar es salaam hapo ilipo Mwaka 1927. Sanamu Hii imetengenezwa kwa shaba na imechongwa na James Alexander Stevenson.

Kabla haija letwa Dar es salaam iliwekwa kwa maonesho katika Royal Academy , London.

Tujaribu kusoma historia , kama hujui historia ya sanamu ile unakua saw ana huyo Mbunge . Hapa tunatakiwa kuijadili ile sanamu kama jee ibaki kama ilivo ambapo askari Puppet alo pigana upande wa Mfalme wa Uingereza dhidi ya Kals Peter wa Ujerumani ina maana yoyote Kwetu.

Jee si wakati mzuri wa kuwaenzi Kinjekitile, Abushiri na Mkwawa walopigana dhidi ya Ukoloni ? Hii ni hoja moto

Hii ni mada moto , hard talk kila mtu ajadili hili .

View attachment 348240
Ni kweli sanamu hiyo ilikuwa kwa ajili ya kutukuza askari mtwana wa waingereza, lakini msingi unabaki kuwa hiyo ni sehemu ya kumbukumbu ya historia ya watanganyika ambayo hatuwezi kuikwepa!
Hata ukiondoa bado itabaki ktk akili na kumbukumbu nyingine! Ni sawa kubaki na ikulu aliyoijenga mjerumani, lile ni jengo la utawala wa kidhalimu ambalo nalo linaendelea kuleta kumbukumbu inayoishi!
Nadhani mnara wa askari unafaa ubaki, bado utaleta kumbukumbu ya mateso ya mtu mweusi, labda pia ni sehemu ktk safari ya ukombozi kwa hiyo si vibaya kuiacha!
Kuhusu sanamu za wazawa waliopigania Tanganyika, nafasi za nchi bado haijajaa, kuna maeneo mengi Posts, kariakoo, mwenge, temeke, buguruni etc bado mnaweza kuwachongea masanamu mashujaa wote na mkayaweka! Haina tija kubomoa huo mnara kwa sasa!
 
Wanachadema wanjua at ile ni sanamu ya wapigania uhuru wa tanganyika na wengine hudhani kuwa ile ni sanamu ya mayunga . Hili ni kosa kubwa hapa kwetu tunacho kizazi cha nyumbu kinacho haribu taifa letu

kama kiongozi wa vyama alipata division zero unategemea wafuasi wawe na akili gani ni suala la kupita pale na kuliangalia na kusoma:

ishu ya huyu diamond mtoboa pua mm siiungi mkono
Basi Ali Kiba otherwise wewe.
Umeelewa mada lkn?
 
Wanachadema wanjua at ile ni sanamu ya wapigania uhuru wa tanganyika na wengine hudhani kuwa ile ni sanamu ya mayunga . Hili ni kosa kubwa hapa kwetu tunacho kizazi cha nyumbu kinacho haribu taifa letu

kama kiongozi wa vyama alipata division zero unategemea wafuasi wawe na akili gani ni suala la kupita pale na kuliangalia na kusoma:

ishu ya huyu diamond mtoboa pua mm siiungi mkono
Nikusaidie tu wewe mku*** kuwa Nyumbu ni mnyama mhimu sana kwa wanyama wengine anao uwezo wa kujua mwezi ujao wapi mvua itanyesha au wapi maji yapo vinginevyo wanyama wengi wangekufa kutokana kipaji hicho wanyama wengi humfata Nyumbu ili wasife na kiu...pumbavu usizoee kukalilishwa tu...
 
Hata kama ni puppet lkn bado ni nembo ya nchi watalii kabla yakuja nchini hutazama picha za miji hasa dar namojawapo ya picha nihio hapo sasa wakiondoaa itakuwa haina mvuto kama wameona history ya hio sanamu wakija wanakuta sanamu la dangote
 
Ni kweli sanamu hiyo ilikuwa kwa ajili ya kutukuza askari mtwana wa waingereza, lakini msingi unabaki kuwa hiyo ni sehemu ya kumbukumbu ya historia ya watanganyika ambayo hatuwezi kuikwepa!
Hata ukiondoa bado itabaki ktk akili na kumbukumbu nyingine! Ni sawa kubaki na ikulu aliyoijenga mjerumani, lile ni jengo la utawala wa kidhalimu ambalo nalo linaendelea kuleta kumbukumbu inayoishi!
Nadhani mnara wa askari unafaa ubaki, bado utaleta kumbukumbu ya mateso ya mtu mweusi, labda pia ni sehemu ktk safari ya ukombozi kwa hiyo si vibaya kuiacha!
Kuhusu sanamu za wazawa waliopigania Tanganyika, nafasi za nchi bado haijajaa, kuna maeneo mengi Posts, kariakoo, mwenge, temeke, buguruni etc bado mnaweza kuwachongea masanamu mashujaa wote na mkayaweka! Haina tija kubomoa huo mnara kwa sasa!
Tutenge eneo maarum la kuweka sanamu za watanzania waliowahi kuliletea sifa taifa mfano ukifika Hongkong kuna fukwe wameweka mashujaa wao karibu wote ambao waliwahi kuliletea sifa taifa.... na fukwe hiyo inahudumiwa na serikali ukienda jioni utakuta kuna bendi zinatumbuiza pale kifupi huchoki kupatembelea pale....
 
View attachment 348239

Wandugu huyu Mbunge ameonekana kituko.kituko kwa kutaka Diamond awekwe badala ya Picha ya askari ...nadhani ni utoto zaidi..Ila mimi nimeona hoja yake inaibua mjadala mpana kuhusu picha ile na Tanganyika.
Jee sanamu ile ni ya nini ?
Huyu mbunge ametufunua wengi kuhusu ile sanamu.
Ni sanamu ya askari wa malkia wa UK alopigana kumuondoa mzungu mwenzie wa Kijerumani. Yule ni mwafrika , mwafrika alotumiwa na wakoloni hivyo nawwza kumwita alikua upande wa wakoloni ...wapo askari wabeba miziko au wapagazi walo andikwa katika placard ya pale. Lakini hawa sio mashujaa wa Tanganyika hata kama ni waafrika...hawa walipigana upande wa mkoloni muingereza dhidi ya mkoloni mjerumani hawa ni puppets sio wazalendo.
Naibua mjadala huu kwa makusudi na mbunge yule amechokonoa hoja ya msingi kabisa japo yeye kaleta uchepe.

Wafrika wa nchi hii walopambana na wakoloni ni Kinjekitile, Chief Mkwawa, Bushiri.
Hawa walipoteza maisha yao kuilinda Tanganyika dhidi ya Ukoloni hawa wanastahiki kabisa stutue zao kusima pale tena za dhahabu ...na mtag ndugu yangu Mwanahistoria Mohamed Said aje nae atie mchango wake kuhusu hili..
Wakoloni walitufanya wanaserere hata historia zetu tukazitia kwenye kapu na kutukuza za kwao.

Mwanzo ilikua picha ya askari wa kijerumani Major Hermann von Wissmann Waingereza waliindoa pamoja na Ya Bismack na Karls Peter

Sanamu Hii ya sasa , Ilizinduliwa Rasmi Dar es salaam hapo ilipo Mwaka 1927. Sanamu Hii imetengenezwa kwa shaba na imechongwa na James Alexander Stevenson.

Kabla haija letwa Dar es salaam iliwekwa kwa maonesho katika Royal Academy , London.

Tujaribu kusoma historia , kama hujui historia ya sanamu ile unakua saw ana huyo Mbunge . Hapa tunatakiwa kuijadili ile sanamu kama jee ibaki kama ilivo ambapo askari Puppet alo pigana upande wa Mfalme wa Uingereza dhidi ya Kals Peter wa Ujerumani ina maana yoyote Kwetu.

Jee si wakati mzuri wa kuwaenzi Kinjekitile, Abushiri na Mkwawa walopigana dhidi ya Ukoloni ? Hii ni hoja moto

Hii ni mada moto , hard talk kila mtu ajadili hili .

View attachment 348240
Kuna kawimbo: Askari keya shujaa wa vita, Askari keya shujaa wa vita, mwanzo wa Ulaya hata mwisho!

Maneno yamenipotea, lakini watu walioishi miaka hiyo walikuwa proud kweli. Na yale makaburi pale Hellenic club ni ya kwao au siyo? Historia haibadiliki kamwe hata pale misimamo yetu itabadilika.
 
Back
Top Bottom