Haya Ndiyo aliyo yaandika waziri wa michezo kwa DIAMOND

poisson

Senior Member
Jul 17, 2016
130
42
70921fb04be49addf66f3bb01719ebe2.jpg
 
Bila kumtaja Diamond huyo Kibakuli si lolote
Maana anatembelea nyota ya mwanaume mwenzie!!
Yeye katajwa na waziri wa michezo twitter
Imekuwa Sherehe ya mwaka,
Mwenzie alitajwa na waziri mkuu
Tena Bungeni haijawa pt
 
Ukitaka siku yako iwe nzuri than ever ije mada inayohusu mond na king we nunua savana huku ukishushia kwa kusoma coment,naona wahusika hawajaiona hii bado mi nasubiri tu soon watakuwa hapa j2 iwe murua
 
team kiba bwanaa.. yan mridhiki bila kumtaja Simba.. sasa hiyo post ya Mh Nape, Diamond anahuskaje kwa mfano
 
Nape nae kwa kukurupuka aseee.

Tonga aingie michezo inayotegemea sana sapoti yake kaitelekeza
Kama soka, kila siku tunashuka tuuu

Sasa kwa vijana wanaohaso kimpango wao anapiga makelele, sijui kawa BASATA tayari
 
Back
Top Bottom