Haya ndio matokeo yangu nishauri nishauri nichukue kozi gani chuo maana sitaki 6

tibmanzenjj

Member
Feb 26, 2014
18
4
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/
KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C'
ENGL - 'B+' ARABIC LANGUAGE - 'B'
B/MATH - 'F
 
Tafuta kozi yeyote ya muda mfupi kama jornalism, teaching n.k maana ungekuwa ulichukua masomo ya science ningekushauri ukasomee kozi ya mambo ya afya.
 
Sasa hz kiislam na arabic ulisoma il uwe shehee?? endelea lbd ukasomee ualimu wa madrasa ukachinje watoto kama yule ndugu yenu.
 
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/
KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C'
ENGL - 'B+' ARABIC LANGUAGE - 'B'
B/MATH - 'F

Kasomee Dini, yoyote ile Upadri au Ushekhe utafaidika
 
We acha ufwala hutak six sasa unataka nn?nenda shule reasoning capacity yako ndogo ndo maana una F ya B/mathematics kwenye hesabu kabla ya kuanza swali tunaandka SOLUTION you have a problem of thinking and analysing things
 
Acha njia za mikato mdogo wangu, nenda A level and then ndo uanze kutafuta chuo. Elimu ya form four haina dili mdogo wangu . nafikiri umenielewa
 
kwanini mna mshambulia sana.. yeye kaweka mtazamo wake toeni msaada kwa namna mnavyoweza ..
nirudi kwako mtoa maada wewe ulikuwa unataka kufanya kitu gani tupe mawazo ili turahisishe kazi ya ushauri..
na hakika unakitu unapenda fanya
 
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/
KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C'
ENGL - 'B+' ARABIC LANGUAGE - 'B'
B/MATH - 'F

Hongera sana mdogo wangu, japo kwa alama ulizopata kuna watu wanakuponda usiogope kwani una sifa ya kusoma certificate ya mipango, sheria, biashara, ICT nk.Swala ni fedha tu, kama wazazi wako wapo safi utafanikiwa tu mpk degree utapata kupitia shortcut hii.Kumbuka huu uwanja ni wa Great thinkers hivyo ukiona jitu linakushauri pumba ujue kuwa hilo ni Low thinker.Nakutakia maandalizi mema ya kwenda chuo.
 
Hongera sana mdogo wangu, japo kwa alama ulizopata kuna watu wanakuponda usiogope kwani una sifa ya kusoma certificate ya mipango, sheria, biashara, ICT nk.Swala ni fedha tu, kama wazazi wako wapo safi utafanikiwa tu mpk degree utapata kupitia shortcut hii.Kumbuka huu uwanja ni wa Great thinkers hivyo ukiona jitu linakushauri pumba ujue kuwa hilo ni Low thinker.Nakutakia maandalizi mema ya kwenda chuo.

Ni kweli mkuu. Mengine ni yale yanayotaka kura za wazi katika bunge la katiba.
 
Kijana kama vp nenda Certificate ya Uandishi wa Habari na Utangazaji kwa kuwa hutaki f.6.

Though HKL ingekufaa but being the case!, gonga hiyo mishe!.
 
usitumie ------ kufikili u must to use brain always form 4 ndo nini acha njia za mkato nenda advance acha kuteleza dogo
 
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/
KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C'
ENGL - 'B+' ARABIC LANGUAGE - 'B'
B/MATH - 'F

Kasome kozi za bodi NBAA (accounts) au PSPTB (procurement), anza na ngazi ya chini , au kozi za computer kama graphics design ...
 
Tafuta kozi yeyote ya muda mfupi kama jornalism, teaching n.k maana ungekuwa ulichukua masomo ya science ningekushauri ukasomee kozi ya mambo ya afya.

kwa ushauri wangu kwanza angalia uwezo wa familia yako sambamba na coz ambayo unaweza kupata ajira kwa urahisi, kama uko kwenye familia bora unaweza kusoma coz yoyote kama jounalism, sheria, procurement, nk ila kama unatoka familia ya uwezo wa chini soma education
 
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/
KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C'
ENGL - 'B+' ARABIC LANGUAGE - 'B'
B/MATH - 'F

Kwani wewe unataka kuwa nani baadae? Au unapenda nini ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom