Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Tunachokiumba hapo ni kitu kimoja hayari sana imagine wanawaona viongozi wetu wa kisiasa wana maisha mazuri kwa kila hali wao na familia zao na ndugu zao wa karibu, wao wako kitaa hawana kitu na wanasota na maisha, mafunzo wanayo mbinu wanazo akitokea kichaa mmoja akawabrainwash........!!!!!
Kwani wengi wao si wamemaliza form6? Kwanini hawajaenda kujiunga na vyuo ht vya ualimu?
mkuu mshana jr hongera sana kwa kuwa na mawazo mapana kiasi hicho,
wakina mbowe wanajaza matumbo yao tu, ona sasa mashavu yanavyotuna, kama paka wa tajiri,
na watu bila kutumia akili eti wanazani chadema inayoiponda ccm ikishika madaraka eti matatizo ya watanzania yataisha, waulize wakazi wa pemba eti na wao walifikiri kuchugua cuf matatizo ya umasikni wao utakishwa, thubutu...! kwa sasa wanabuluzwa kama siyo wenyewe na maisha yako pale pale.
mkuu mshana jr hongera sana kwa kuwa na mawazo mapana kiasi hicho,
wakina mbowe wanajaza matumbo yao tu, ona sasa mashavu yanavyotuna, kama paka wa tajiri,
na watu bila kutumia akili eti wanazani chadema inayoiponda ccm ikishika madaraka eti matatizo ya watanzania yataisha, waulize wakazi wa pemba eti na wao walifikiri kuchugua cuf matatizo ya umasikni wao utakishwa, thubutu...! kwa sasa wanabuluzwa kama siyo wenyewe na maisha yako pale pale.
Kwani wengi wao si wamemaliza form6? Kwanini hawajaenda kujiunga na vyuo ht vya ualimu?
Tunachokiumba hapo ni kitu kimoja hayari sana imagine wanawaona viongozi wetu wa kisiasa wana maisha mazuri kwa kila hali wao na familia zao na ndugu zao wa karibu, wao wako kitaa hawana kitu na wanasota na maisha, mafunzo wanayo mbinu wanazo akitokea kichaa mmoja akawabrainwash........!!!!!
mkuu mshana jr hongera sana kwa kuwa na mawazo mapana kiasi hicho,
wakina mbowe wanajaza matumbo yao tu, ona sasa mashavu yanavyotuna, kama paka wa tajiri,
na watu bila kutumia akili eti wanazani chadema inayoiponda ccm ikishika madaraka eti matatizo ya watanzania yataisha, waulize wakazi wa pemba eti na wao walifikiri kuchugua cuf matatizo ya umasikni wao utakishwa, thubutu...! kwa sasa wanabuluzwa kama siyo wenyewe na maisha yako pale pale.
Pamoja na kunipongeza sikuwa na maana hiyo ya kwako
lakn nakuomba uelewe hivyo. hehehe! thanks.
Boko haramu part II huenda ikatokea
Mtaji wa maskin ni nguvu zake
Ni muda mwafaka kwa serikali kuagiza makampuni yote ya ulinzi kuwaajiri vijana walitoka JKT kwa utaratibu wa hiari (volunteers)