Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,736
Ni tawi la Marekani acha ubishi ,linaishi Kwa nguvu za MAREKANI .Fuatilia hata ruzuku na siraha anazopewaIsrael hawezi kuwa kibaraka wa marekani labda iwe vice versa maana raia wa waisrael wameshika sehemu zote nyeti marekani kuanzia Hollywood mpaka kwenye sekta ya siasa
Israel inaingiliwa uhuru wake na nchi ipi? (Tafadhali usiitaje Marekani)
Hujui chochote waisrael walioko marekani ni wengi kuliko waliopo Israel na ndio wanaendesha siasa za marekani, hivi hujiulizi netanyau alipata wapi ujasiri wa kuwakoromea viongozi wa marekani. Ingekuwa Taifa jingine vingeanza vikwazo na mkakati wa kumwangusha kiongozi wa Israel lakini kwanini walikaa kimyaNi
Ni tawi la Marekani acha ubishi ,linaishi Kwa nguvu za MAREKANI .Fuatilia hata ruzuku na siraha anazopewa
We hamna kitu kabisa, inaonekana unapenda league, hujamwelewa mketa mada , inatakiwa uulize kwa Nini hayo mataifa.Wewe sijui shule umesomea wapi braza, Taifa huru duniani ni USA tu, yalobaki ni vibaraka tu hawana lolote, Russia yako hiyo haiwezi kusimama agenda pale UN hadi ikapita au kuungwa mkono sasa huo uhuru wako unaoizungumzia iko wapi.
China wanaminywa makende na USA hadi this time, hawawezi chochote mbele ya USA labda kwa majirani tu, angekuwa huru Huawei isingepotea kwenye ramani duniani braza, baba wa dunia ni USA
Russia kavimbiwa hadi Ukraine, Prighozin, etc sasa huo uhuru unazungumzia nini, najua lengo lako ni kutaka kuweka Russia na USA katika level 1 bt Russia bado braza
Where is India my guy?Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Hata Tanzania tuko huru sema hatupendi tu kujionyesha...Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Haya Kama vile yapo chini ya Russia [emoji16][emoji16]6. Cuba
7. Venezuela
Nyingine hii Cuba.Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Nchi ambayo defense budget yake inamtegemea US, haiwezi itwa huru.Israel
Kama mnauza Bandari kwa mwarabu unategemea nini ?.Ni uzuni kwakweli mpaka Tz yangu nayo haipo huru
Wabongo wanajifanya wanajua sana😂Nchi ambayo defense budget yake inamtegemea US, haiwezi itwa huru.
Kuipinga USA ni kuwa huru siku hz [emoji23]6. Cuba
7. Venezuela
Akil zenu bure kbsIsrael ni kibaraka wa Marekani
Mawazo yako haya.Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Mtoe Iran . Iran bila Urusi na China hatoboi, so hafai kukaa hapo.Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Mtoe Iran . Iran bila Urusi na China hatoboi, so hafai kukaa hapo.
Umesema kiuchumi hapo nakupinga kwa Iran.Umeelewa uzi lakini??
UK, France na German ni vibaraka tu [emoji848]Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Unatumia cha ArushaDunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.
Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.
Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia [emoji635]
2. USA [emoji631]
3. China [emoji630]
4. Iran [emoji1130]
5. North Korea [emoji1188]
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.
Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Nakubalina na wewe 100% Russia ndo kwanza anapigania uhuru wake. Bado hana uhuru wowote na ndo maana ana vikwazo kila kona. Nani anayeweza kumwekea US vikwazo. Uchumi wa Russia bado sana. Ni sawa na Uchumi wa Jimbo tu US. Uhuru lazima uendane na uchumiWewe sijui shule umesomea wapi braza, Taifa huru duniani ni USA tu, yalobaki ni vibaraka tu hawana lolote, Russia yako hiyo haiwezi kusimama agenda pale UN hadi ikapita au kuungwa mkono sasa huo uhuru wako unaoizungumzia iko wapi.
China wanaminywa makende na USA hadi this time, hawawezi chochote mbele ya USA labda kwa majirani tu, angekuwa huru Huawei isingepotea kwenye ramani duniani braza, baba wa dunia ni USA
Russia kavimbiwa hadi Ukraine, Prighozin, etc sasa huo uhuru unazungumzia nini, najua lengo lako ni kutaka kuweka Russia na USA katika level 1 bt Russia bado braza