Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

Sasa Angalia unafiki ulio fanywa na Julius Nyerere na Abedi Amani Karume. John Okelo wakampoteza kwenye ramani ya. Zanzibar na Tanzania, na Mohamed Babu wakamkimbiza nchi akaishi na kufia uhamishoni. Nadhani mnaona wenyewe hapo Babu alivyokua ana poromosha Ngeli la ukweli kuashiria kua kwa kipindi hicho alikua ni Msomi wa hali ya juu.

Enyi wa Zanzibari na Watanganyika Zindukeni sasa. Yatosha!
িী

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawatakia kumbukumbu njema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyovikomboa visiwa hivi.
P
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom