Haya ndio Maoni ya Rais JK kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya

Lipumba alishachungulia jikoni na pale kasema ili kupunguza munkari wakati ukifika... yaweza kuwa kaambiwa akaseme ili kutengeneza njia... anaendelea kumsaidia jk
 
kwa hali ilivyo,uchaguzi kufanyika 2015 ni ngumu sana maana mchakato wa kuipata katiba ya bara haujaanza kabisa na haijulikani utaanza lini... jk endelea mpaka 2017... teh teh
 
Kuna siku usipokuwa na yale magwanda yako unakuwa na akili sana. JK hadi 2017

Mchakato wa katiba hauja suspend katiba ya sasa vinaenda sambamba, uchaguzi wa 2015 utafanyika kwa mujibu wa katiba ya zamani, na mchakato wa katiba ya tanganyika utaendelea, kwahiyo ninachokiona ni kwamba kazi ya warioba bado inaendelea! Kikwete akitaka kubaki itatokana na waga wa uchaguzi walionao na hofu ya kupoteza madaraka na hiki kitendo kitakuwa ni very undemocratic na kisichokubalika..
 

Kama wanatupa nafasi ya kupata Tanganyika.... LET THE GUY BE THERE.... itakuwa mwanzo wa mwisho wa ku-uma-uma meno kwenye uhalisia
 
Huwezi kutunga katiba ya Tanganyika bila ya kuwa na katiba ya Muungano kwanza.

Katiba ya Tanganyika lazima izingatie yale yaliyomo kwenye katiba ya Muungano.

Kazi ngumu ilikuwa kukubaliana muundo wa serikali ya Muungano.

Kinachoweza kufanyika ni kwa Tanganyika kukubaliana muundo wa serikali na namna ya kuwapata viongozi. mambo mengine yote yanaweza kutungwa na uongozi mpya utakaochaguliwa 2015.

 

:shock:Hapo penye red tumeambiwa ni utaratibu wa kila nchi.....Hii tunayoindaa ni katiba ya JMT....hayo si miongoni mwa mambo ya muungano. Tutaliona hili ktk katiba ya Tanganyika!!.....When? I don't know.....
 

Kweli kabisa kiongozi
 

Hivi kipi kinaanza, uwepo wa mataifa mawili ili yaunde muungano ama unaanza muungano kisha mataifa mawili yanajitenga na kuwa kila taifa peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…