Bado sijaona utaratibu wa kuwapta wakuu wa mikoa/wilaya,mkono wa rais bado ni mrefu kupindukia,unaanzia juu kuzunguka chini kisha unarudi juu,hii ni hatari dhahri,mwenyekiti wa tume HURU ya uchaguzi kuwa appointed na rais/mwenyekiti wa chama ni janga jingine,ngoja tuone awamu hii kama kuna atakayekumbuka kulizungumzia hilo bila kwikwi.