Hakuna hapo. Labda kwa mbali Prof Kabudi kwa sababu na yeye anaijua vizuri historia kama Tundu LissuLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
Kakafulila kajanjajanja katammaliza kabisa huyu Lissu kwa hojaL
Hakuna hapo. Labda kwa mbali Prof Kabudi kwa sababu na yeye anaijua vizuri historia kama Tundu Lissu
Hao wengine vilaza tu
Sijui kwanini wanamwacha huyu kumuingiza kwenye SiasaYes kafulila anaweza kucheza miguu yote Kwa hoja nzito, hapo ccm waliokota kichwa hasa
Nimecheka kwa sautiHuyo Kabudi na Kafulila sawa Polepole ataanza kuchora chora ubao tu
Pole sana na mafua mkubwa...MABO YANABABIRIKA MDUU UNAWEDA KUDA WADA WADU WAO DAYARI
Mpaka leo sijui ni kiongozi gani aliyempachika a.k.a ya tumbili.Sio Kakafulila Sema Kafulila utaeleweka tu
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
Hakuna mwana CCM anayeweza kuleta majibu yanayoelewa na kukubaliwa na wengi kuwa ni majibu kwenye issue ya Muungano.Yes kafulila anaweza kucheza miguu yote Kwa hoja nzito, hapo ccm waliokota kichwa hasa
Wewe ni muungwana..hivi kuna uongo au chumvi kwenye issue ya muungano anavyoisema Lissu kiasi kwamba kuna mambo hayafahamiki na hivyo Kafulila au Kabudi ndiye anaweza yaelezea..Hakuna mwana CCM anayeweza kuleta majibu yanayoelewa na kukubaliwa na wengi kuwa ni majibu kwenye issue ya Muungano.
Nielewe nikisema hakuna. Issue ya Muungano hata tumkodi Malaika kutujibia hawezi akaeleweka.
Wewe tu ukiulizwa kwa nini Mzanzibar anakuwa Mkuu wa Wilaya Tanganyika na mtanganyika hawezi kuwa mkuu wa Wilaya Zanzibar unaweza kujibu?
Hapo halijawekwa suala la umiliki wa ardhi!
Acha kuota mchanaLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila