Haya ndio maisha, dunia ndio hii

Haya ndio maisha, dunia ndio hii

chichiboy1

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
1,396
Reaction score
1,887
Habari wana-JF,
Hapa naomba tupeane kanuni mbalimbali za kuiishi hii sayari dunia, tutajifunza mengi na hata kuongeza maarifa katika kukabiliana nayo kwa kipindi cha uhai wetu:

Kanuni 13 za Kimaisha Zenye Kina na Thamani Kubwa:
  • Usitegemee mtu yeyote.
  • Hakuna mtu atakayekaa na wewe milele.
  • Rafiki wa leo anaweza kuwa adui wa kesho.
  • Siri zako ni kama risasi; ukiwapa wengine, siku moja wanaweza kuzitia kwenye bunduki na kuzitumia dhidi yako.
  • Kuna mambo matatu tu unayoweza kuyategemea kila wakati na hayatakuangusha: mfuko wako, afya yako, na zaidi ya yote, Mungu wako.
  • Weka mahitaji na tamaa zako siri kwa wengine.
  • Sio kila mtu anayekuzungumzia kwa tabasamu anakupenda.
  • Sio kila mtu anayekuita "mpenzi," "mpendwa," au "rafiki" anakujali kweli (watangazaji wa televisheni wanatuita "watazamaji wapendwa" kila siku, lakini hawatufahamu wala kutupenda).
  • Jali nafsi yako... fanya akili na moyo wako kuwa chanzo cha furaha yako, na hutajuta kamwe!
  • Furahia maisha kwa kuwa na wazimu kidogo kwa sababu watu wenye busara hufa mapema!
  • Fuatilia hobii na mapenzi yako madogo, hata kama kwa wengine yanaonekana hayana maana.
  • Usitafute tegemeo kwa ajili yako.
  • Kwa sababu tu wewe ni mkarimu na una huruma kwa wengine, usitarajie dunia ikutendee hivyo.
 
Habari wana-JF,
Hapa naomba tupeane kanuni mbalimbali za kuiishi hii sayari dunia, tutajifunza mengi na hata kuongeza maarifa katika kukabiliana nayo kwa kipindi cha uhai wetu:

Kanuni 13 za Kimaisha Zenye Kina na Thamani Kubwa:
  • Usitegemee mtu yeyote.
  • Hakuna mtu atakayekaa na wewe milele.
  • Rafiki wa leo anaweza kuwa adui wa kesho.
  • Siri zako ni kama risasi; ukiwapa wengine, siku moja wanaweza kuzitia kwenye bunduki na kuzitumia dhidi yako.
  • Kuna mambo matatu tu unayoweza kuyategemea kila wakati na hayatakuangusha: mfuko wako, afya yako, na zaidi ya yote, Mungu wako.
  • Weka mahitaji na tamaa zako siri kwa wengine.
  • Sio kila mtu anayekuzungumzia kwa tabasamu anakupenda.
  • Sio kila mtu anayekuita "mpenzi," "mpendwa," au "rafiki" anakujali kweli (watangazaji wa televisheni wanatuita "watazamaji wapendwa" kila siku, lakini hawatufahamu wala kutupenda).
  • Jali nafsi yako... fanya akili na moyo wako kuwa chanzo cha furaha yako, na hutajuta kamwe!
  • Furahia maisha kwa kuwa na wazimu kidogo kwa sababu watu wenye busara hufa mapema!
  • Fuatilia hobii na mapenzi yako madogo, hata kama kwa wengine yanaonekana hayana maana.
  • Usitafute tegemeo kwa ajili yako.
  • Kwa sababu tu wewe ni mkarimu na una huruma kwa wengine, usitarajie dunia ikutendee hivyo.
Ongezea na ile misemo ya Chameleone wA Panda 3 (RULE OF THE STREETS)
1. Do not trust any one
2. Some will get hurt! Make sure never you
3. Nobody is interested with your feelings
 
Chekecha ubongo utajua zilipotoka. Sidhani kama ni universal, ni kwa ajili yeyote atakayeona zinafaa.
Wewe ulieleta uzi humu ndio utuambie umezitoa wapi, mbona vijana wa siku hizi mnakosa uwezo wa kujenga hoja kabisa? Mkishaokota takataka zenu huko facebook mnakuja kuzitupa humu, hii ndio JF home of great thinker? Shame on you, wahead!
 
Habari wana-JF,
Hapa naomba tupeane kanuni mbalimbali za kuiishi hii sayari dunia, tutajifunza mengi na hata kuongeza maarifa katika kukabiliana nayo kwa kipindi cha uhai wetu:

Kanuni 13 za Kimaisha Zenye Kina na Thamani Kubwa:
  • Usitegemee mtu yeyote.
  • Hakuna mtu atakayekaa na wewe milele.
  • Rafiki wa leo anaweza kuwa adui wa kesho.
  • Siri zako ni kama risasi; ukiwapa wengine, siku moja wanaweza kuzitia kwenye bunduki na kuzitumia dhidi yako.
  • Kuna mambo matatu tu unayoweza kuyategemea kila wakati na hayatakuangusha: mfuko wako, afya yako, na zaidi ya yote, Mungu wako.
  • Weka mahitaji na tamaa zako siri kwa wengine.
  • Sio kila mtu anayekuzungumzia kwa tabasamu anakupenda.
  • Sio kila mtu anayekuita "mpenzi," "mpendwa," au "rafiki" anakujali kweli (watangazaji wa televisheni wanatuita "watazamaji wapendwa" kila siku, lakini hawatufahamu wala kutupenda).
  • Jali nafsi yako... fanya akili na moyo wako kuwa chanzo cha furaha yako, na hutajuta kamwe!
  • Furahia maisha kwa kuwa na wazimu kidogo kwa sababu watu wenye busara hufa mapema!
  • Fuatilia hobii na mapenzi yako madogo, hata kama kwa wengine yanaonekana hayana maana.
  • Usitafute tegemeo kwa ajili yako.
  • Kwa sababu tu wewe ni mkarimu na una huruma kwa wengine, usitarajie dunia ikutendee hivyo.
Nimependa hii kanuni:
  • Furahia maisha kwa kuwa na wazimu kidogo kwa sababu watu wenye busara hufa mapema!
 
Kwa kuongezea hapa duniani ili upeleke mambo yako kwa usahihi.

Kuwa na MIPANGO (PLANS)

Mipango itakusaidia usiwe MTU wa kukurupuka na kuwa na maanadalizi mazuri katika kuyaendea mambo.

Mfano Una mpango wa kununua kiwanja na kipato chako 700K kwa mwezi na kiwanja kinauzwa mil 1.

Jambo la kufanya ni kuanza kuwa na mipango ya kuweka AKIBA angalau kila mwezi laki moja 100K.

Hii itasabibisha ufikie malengo ya kuipata mil 1 pasipo kuathiri uchumi wako kwa kiwango kikubwa.
 
Pia don't follow trend becouse trend is not you .

Usifate 'MKUMBO' haijalishi nini kinaendelea ,

Mfano wewe upo njiani unaelekea kazini unakuta watu wanapiga mwizi unachofanya wewe usiunganike na hao watu kupiga bali endelea na safari yako .


Trend is not you but is house of sand .
 
Habari wana-JF,
Hapa naomba tupeane kanuni mbalimbali za kuiishi hii sayari dunia, tutajifunza mengi na hata kuongeza maarifa katika kukabiliana nayo kwa kipindi cha uhai wetu:

Kanuni 13 za Kimaisha Zenye Kina na Thamani Kubwa:
  • Usitegemee mtu yeyote.
  • Hakuna mtu atakayekaa na wewe milele.
  • Rafiki wa leo anaweza kuwa adui wa kesho.
  • Siri zako ni kama risasi; ukiwapa wengine, siku moja wanaweza kuzitia kwenye bunduki na kuzitumia dhidi yako.
  • Kuna mambo matatu tu unayoweza kuyategemea kila wakati na hayatakuangusha: mfuko wako, afya yako, na zaidi ya yote, Mungu wako.
  • Weka mahitaji na tamaa zako siri kwa wengine.
  • Sio kila mtu anayekuzungumzia kwa tabasamu anakupenda.
  • Sio kila mtu anayekuita "mpenzi," "mpendwa," au "rafiki" anakujali kweli (watangazaji wa televisheni wanatuita "watazamaji wapendwa" kila siku, lakini hawatufahamu wala kutupenda).
  • Jali nafsi yako... fanya akili na moyo wako kuwa chanzo cha furaha yako, na hutajuta kamwe!
  • Furahia maisha kwa kuwa na wazimu kidogo kwa sababu watu wenye busara hufa mapema!
  • Fuatilia hobii na mapenzi yako madogo, hata kama kwa wengine yanaonekana hayana maana.
  • Usitafute tegemeo kwa ajili yako.
  • Kwa sababu tu wewe ni mkarimu na una huruma kwa wengine, usitarajie dunia ikutendee hivyo.
Tafuta fedha. Narudia tena, tafuta fedha. Acha kukariri ma-kanuni ambayo hayatakusaidia kwenye maisha halisi. Utapasuka kichwa bure kwa kulundika kichwani mi-kanuni isiyosaidia lolote kwenye maisha yako. Narudia tena, tafuta fedha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom