Haya Ndio magoli 10 Bora Katika UEFA Msimu Huu Uliomalizika Wa 2016/2017 Kwa Mujibu Wa UEFA.

Pionaire

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
1,595
1,118
Kama ilivyo kwenye heading apo...Yafuatayo ni magoli Kumi bora yaliyochaguliwa na UEFA Observers Committee(U.O.C) Kwa msimu Wa 2016/2017 Kisha hupigiwa Kura na Kuchaguliwa Moja bora kati ya hayo...Ni aibu sana Kwa Mchezaji Kama MESSI anayeitwa King na Mashabiki Wake kutokuwepo kwa Goli lake Katika List Hiyo...Huku Mashabiki Wake Wakidai Jamaa Hufunga Magoli Mazuri Sana Ya Kutafuta na Yanayovutia Pia, Tuelewe Vipi hapa...ina maana UEFA hawakuona GOLI ZURI ATA MOJA LA MESSI AMA???...INAWEZEKANA MASHABIKI WA MESSI HUWA WANA UPOFU MKUBWA SANA.

 
Kama ilivyo kwenye heading apo...Yafuatayo ni magoli Kumi bora yaliyochaguliwa na UEFA Observers Committee(U.O.C) Kwa msimu Wa 2016/2017 Kisha hupigiwa Kura na Kuchaguliwa Moja bora kati ya hayo...Ni aibu sana Kwa Mchezaji Kama MESSI anayeitwa King na Mashabiki Wake kutokuwepo kwa Goli lake Katika List Hiyo...Huku Mashabiki Wake Wakidai Jamaa Hufunga Magoli Mazuri Sana Ya Kutafuta na Yanayovutia Pia, Tuelewe Vipi hapa...ina maana UEFA hawakuona GOLI ZURI ATA MOJA LA MESSI AMA???...INAWEZEKANA MASHABIKI WA MESSI HUWA WANA UPOFU MKUBWA SANA.


mada yako ni magoli bora ya uefa au ni Magoli ya Messi kutokuwa top ten?

Mashabiki wa mmoroko mna shida sana
19029633_1341376769280111_595482674567791051_n.jpeg
 
mada yako ni magoli bora ya uefa au ni Magoli ya Messi kutokuwa top ten?

Mashabiki wa mmoroko mna shida sanaView attachment 523343

Kijana tunataka HILO GOLI LICHAGULIWE NA OFFICIAL UEFA WENYEWE SIO NYIE MASHABIKI VINDAKINDAKI WA MESSIAH...KWA MAANA UKITAKA HIVYO KILA MTU ANAWEZA KUCHAGUA GOLI ZURI LOLOTE LA MCHEZAJI WAKE AMPENDAE NA KUPOST....UKWELI NDO HUO KWAMBA UEFA HAWAJATAMBUA GOLI ATA MOJA BORA LA MESSI.
 
Kijana tunataka HILO GOLI LICHAGULIWE NA OFFICIAL UEFA WENYEWE SIO NYIE MASHABIKI VINDAKINDAKI WA MESSIAH...KWA MAANA UKITAKA HIVYO KILA MTU ANAWEZA KUCHAGUA GOLI ZURI LOLOTE LA MCHEZAJI WAKE AMPENDAE NA KUPOST....UKWELI NDO HUO KWAMBA UEFA HAWAJATAMBUA GOLI ATA MOJA BORA LA MESSI.
inaonekana unashangaa magoli ya KING kukosekana
 
inaonekana unashangaa magoli ya KING kukosekana

HaHaHa!...Powa Mkuu, Au UEFA wanachuki na King wenu nini?...Duh! magoli yote aliyofunga Yale hakuna ata moja walilolielewa??
 
naona wewe mkuu ndio unaumia sana kuliko hata sisi mashabiki wake

Hapana me nimefanya kushangaa tu kwa kweli...na sifa zote zile mnazompaga kwa magoli anayofunga imekuwaje kutokuwepo hapo nayeye ameshiriki UEFA?
 
Huyo Messi kila sehemu hayumo hata kwenye list ya wanamichezo na wanamziki wenye mkwanja kwenye top Ten hayumo, Ronaldo wa 5,Forbes list ya wanamichezo tu hayumo pia wakati RON WA KWANZA.
 
Hapana me nimefanya kushangaa tu kwa kweli...na sifa zote zile mnazompaga kwa magoli anayofunga imekuwaje kutokuwepo hapo nayeye ameshiriki UEFA?
akiwepo mnasema anabebwa na asipokuwepo mnapiga kelele
 
Huyo Messi kila sehemu hayumo hata kwenye list ya wanamichezo na wanamziki wenye mkwanja kwenye top Ten hayumo, Ronaldo wa 5,Forbes list ya wanamichezo tu hayumo pia wakati RON WA KWANZA.

Jamaa msimu huu Kafifia sana...ashukuru tu kwa kupata ata Kile kiatu kwa ufungaji bora LaLiga 2016/2017...maana hatopata tena individual award nyingine...mwenzie anabeba tu wewe ona apo chini hiyo tuzo inaitwa Onze D'or amechukua kama mchezaji bora msimu Wa 2016/2017.

DB-TqeMWAAE1Kbe.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom