Haya mapenzi ni shida aisee, picha inaongea

Haya mapenzi ni shida aisee, picha inaongea

Nakuaminia... si unakumbuka siku ile uliponipiga mzinga wa teni... Kumbe ndio kati ya njia zako za kujiongezea kipato.. hongera.

hHHhahahaaah nyooooo

mara ya mwisho kuomb ela ni form 2
NILIOMBA ELABYA MITIHANI

MI JI MChaga by original masai by culture
natafuta ela sitafuti watu
 
Hiyo ni ndroo ya magoli ila idadi ndo sijui
 
Kila mla huliwa ukute na wife yupo na mume wa baby hatariiiii.

Na kama ndio hivyo ukute couple moja ilisimamia ndoa ya couple nyingine, na pale kwenye kubadilishana wenza kwenye kufungua muziki ndio balaa lilipoanzia!!
 
Back
Top Bottom