biti kankome
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 297
- 103
wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.
Wapone kwa maombezi ya hao wachawi?
wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.
Huko ni wainjilisti Temeke na Tumbi na kwingineko ni mashekhe na waumini wao na wakiingia huko ndani ni mengi yanafanyika!!wengine wanataka hadi nguo yeyote yenye damu waondoke nayo.Naomba tusichafue hali ya hewa wenye dini zenu Mungu awape hekima na kuvumiliana.
Nashauri uwaache. Ni kwa sababu wanajua wanachokifanya, ila wewe hukijuiNi ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.
We huumwi ndio mana kero kwako. Ngoja uwe ICU uwepo wao utautamani sana tu. We mpaka unaandika huku JF unaumwa kweli wewe? Si ungewaambia tu hapohapo watu wa menejiment.Ni ktk hospitali ya mkoa Mt.Meru Arusha,asubuhi na mapema wainjilisti na waombezi wanajazana ktk wodi za wagonjwa kelele tupu,uongozi wa hospitali uliangalie vyema hili ni usumbufu kwa wagonjwa.
Alitaka.manake akisema sitaki nani amguseKwakweli ni usumbufu,kuna jirani yangu mmoja aliombewa kwa kutikiswa kichwa mpaka kizunguzungu.
Usiwe mwepesi kulaani mtu ni mbaya sanaushindwe ktk jina la YESU tena wewe ni shetani huwezi kuzuia ujumbe wa MUNGU kwa wagonjwa kaa kimya ufumbe kinywa chako ulaaniwe
Kwani Mungu ni kiziwi?
Watoto wa mikesha ya mwenge utawajua tu.




yaan weweImani na maombi vinaendana. Kama.kuna maombi bila imani ni kazi bure, kama hakuna mtokeo basi hakukuwa na imani.Kama maombi yanasaidia mbona sala kila siku ya Mwenyekiti wa Bunge la katiba Samuel Sitta imeshindwa kuwarudisha UKAWA ndani ya Bunge?,,maombi hayana lolote zaidi ya imani tu sawa na wale wagonjwa walioenda Loliondo kwa Babu na bado sasa hivi ni wagonjwa kama zamani na wengine tayari ni marehemu kitambo tu!
Watapona kwa hayo makelele yenu,??wewe ndo una mapepö, watu wako desperate wanataka kupóna wewe unaongea ovyo hujalazwa wewe.
Wengi wamepona tu. ila wewe huwezi kupona.Watapona kwa hayo makelele yenu,??
Mnatongozana bar,kuna makele na hamzioni hizo ila walokole wakiomba nongwa.Kwani Mungu ni kiziwi?
Watoto wa mikesha ya mwenge utawajua tu.