At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Katafute hata kipande cha mhogo utulize njaa😂😂😂😂😂😂😂😂Wrote so much am fvckin hungry
Uvumilivu gani wakati wamefunga akaunti yake ya tweeter? Hiyo demokrasia na uhuru gani hapo wakati umemziba Trump mdomo kwenye social media anayoitumia zaidi? Double standards hapo acheni upotoloTrump anarushia wenzake mawe.
Na wenzake wanamrudishia kwa kumrushia Trump mawe.
Upande wa Trump na hao Democratics wote wana uvumilivu wa kisiasa na wanaheshimu freedom of speech.
Turudi kwenye scenario yako.
Magufuli angetoa hayo maneno je upinzani wangekua na uvumilivu wa kisiasa? Au wangekimbilia mahakamani?
Je, angerudishiwa, yeye angekua na uvumilivu wa kisiasa? Au angeresort kwenye katiba inayosema hatakiwi kurushiwa mawe?
Wrote so much am fvckin hungry
Hii ishu ni ya zamani. Cheki tarehe ya uzi.Uvumilivu gani wakati wamefunga akaunti yake ya tweeter? Hiyo demokrasia na uhuru gani hapo wakati umemziba Trump mdomo kwenye social media anayoitumia zaidi? Double standards hapo acheni upotolo