Haya mambo yamekaaje?

Haya mambo yamekaaje?

Ahh mie naona Haina shida just muendelee kuheshimiana mke mwambie ukweli kuwa ni mahusiano ya kawaida afu nyie SIo magaid
 
Mkuu umejenga jirani na ukweni, maana kama hadi shemu anakuja kuangalia TV maana yake upo around, kwanini kama hujajenga usihamie mbali na hapo ili kumpa comfortability mkeo wa sasa? au ndio watu wapwani tena
 
Ndo Ivo mkuu
Sawa But sidhani kama ni suluhu,,,,Assume akapewa hilo tako....

Kutokuwa karibu na mtu sio lazima muwe maadui,,, Jamaa anatakiwa aweke Boundaries,,,na asimamie hio mipaka yake,,,,,hao ndugu watakaa tu katika misingi yake....hakuna ulazima wa uadui na watu mlioishi nao vizuri....
 
Sawa But sidhani kama ni suluhu,,,,Assume akapewa hilo tako....

Kutokuwa karibu na mtu sio lazima muwe maadui,,, Jamaa anatakiwa aweke Boundaries,,,na asimamie hio mipaka yake,,,,,hao ndugu watakaa tu katika misingi yake....hakuna ulazima wa uadui na watu mlioishi nao vizuri....
Huyu jamaa ameingiwa na choyo,kwani huyo anaekuja kuangalia tv akimchukulia kama nduguye TU shida Iko wapi na kwanini ashindwe kufanya maamuz juu ya nn anachotaka na asichotaka kama mwanaume!?
 
Back
Top Bottom