sijawahi kuona. nadhani ni imagination ya msanii tu
Kukimbilia mikopo siyo suluhisho la matatizo bali ndo kwanza unaongeza matatizo ya garama za maintenance ya gari na matunzo ya familia na bei za vitu inavyopaa utakomaMbona hapo hawaja banana? Ngoma ukute mmebanana, simu yako ikiita ukishusha kwa uharaka mkono utajikuta umeingia mfukoni kwa mtu badala ya mfuko wako. Lengine ni wakinamama, kwenye kujishikilia ni wavivu sana, akigundua upo nyuma yako anashika uwongo halafu anakuegemea kwa masabuli mzimamzima. Shida tupu, nowonder watu wanakimbila mikopo ya magari hatakama amepanga chumba kimoja.