Haya maisha yameshakuwa magumu!!!!

BIG X

JF-Expert Member
Nov 4, 2011
777
212
  • Nashindwa pata Elimu sababu wazazi wangu hawana uwezo wa kunipeleka shule ingawa nimefaulu vizuri.
  • Sijulikani, sina uwezo wa kuongea shida zangu nikasikika.
  • Nikishiriki maandamano ya amani kwa nia ya kusema kilicho moyoni napigwa mabomu na virungu kama vile sio mtanzania.
  • Nilifikiri KATIBA mpya ingeweza kuniokoa lakini naona hizo ndoto zinaanza kupotea.
  • Nimejikamua ili niweze kushiriki JF na kusema yaliyopo moyoni mwisho wa siku napigwa ban.

Haya maisha yashakuwa magumu, Mimi nitakuwa mgeni wa nani jamani!!!
 
Yani nyie wote vilaza!!!
Yan wewe ndie kilaza namba moja coz umetapika afu ukayarudia matapishi yako ukala na hapo ulipo umeshiba matapishi..



Haya tuambie ingekuwa vipi kama chit chat ingefungwa? Hilo sredi lako la kujikatia tamaa ungelibandika wapi? Manake mmu halilipi wala kwenye siasa halifai...


Chit chat OYEEeeeee!
 
Yan wewe ndie kilaza namba moja coz umetapika afu ukayarudia matapishi yako ukala na hapo ulipo umeshiba matapishi..



Haya tuambie ingekuwa vipi kama chit chat ingefungwa? Hilo sredi lako la kujikatia tamaa ungelibandika wapi? Manake mmu halilipi wala kwenye siasa halifai...


Chit chat OYEEeeeee!

Sijapata ona kilaza kama wewe. umeshindikana.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom