HAYA MAFUNDISHO YA KUKAN'YAGANA KICHWANI NI WACHUNGAJI WAMEYAPATA WAPI?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
mchungaji.jpg

Kaazi kweli kweli Hivi bwana Yesu Kristo alikuwa akiwaombea Wafuasi wake kwa kuwakany'aga Vichwani?hapa kukanyagana tu kama mgambo Wachungaji wameyapata wapi elimu hii jamani?
imani nyingine ni mbovu kabisa Bwana Yesu asifiwe Haleluya Emin.

Matayo 15:14Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
14 Waacheni; wao ni viongozi vipofu. Na kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili watatumbukia shimoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom