kwani hata hao waruguru ni kabila ?Hakuna hilo kabila labda kama unazungumzia waruguru.
kwani hata hao waruguru ni kabila ?
waruguru wala walugulu kwa sasahilo kabila hatunalo labda kwa badae
Sitaki kabisa kusikia kabila hilo, kuna demu wa kabila hilo alinilia hela yangu halafu akakimbia. Wenye kabila hili mkusanyane mchange hela mnirudishie haraka, kiwango mni pm, la sivyo nazidi kumsaka dada yenu, na nikimpata, yaaani, we subiri.
Hakuna hilo kabila labda kama unazungumzia waruguru.
Huwa wananifurahisha wanakuja town kuuza mihogo mibichi af wananunua mihogo ya kukaanga..
Huwa wananifurahisha wanakuja town kuuza mihogo mibichi af wananunua mihogo ya kukaanga..
Huwa wananifurahisha wanakuja town kuuza mihogo mibichi af wananunua mihogo ya kukaanga..
Sitaki kabisa kusikia kabila hilo, kuna demu wa kabila hilo alinilia hela yangu halafu akakimbia. Wenye kabila hili mkusanyane mchange hela mnirudishie haraka, kiwango mni pm, la sivyo nazidi kumsaka dada yenu, na nikimpata, yaaani, we subiri.
Sitaki kabisa kusikia kabila hilo, kuna demu wa kabila hilo alinilia hela yangu halafu akakimbia. Wenye kabila hili mkusanyane mchange hela mnirudishie haraka, kiwango mni pm, la sivyo nazidi kumsaka dada yenu, na nikimpata, yaaani, we subiri.