Haya huwa yananikera sana......

hehehe!
mdogo wangu huyu mpuuzi!
unajua mimi mtu anaewadhihaki wanawake sooo direct and open kwa vitu ambavyo havina ukweli NAMCHUKIA SANA
......Lazima yatakuwa machweo haya si bure....Eeehh! tuendelee mzee kijana..
 
...HIVI KUMBE HUJAOA?....
mwanaume ambaye ni bachelor haruhusiwi kupost unachokiandika hapo.

UNAWADHIHIRISHIA WANA-JF KWAMBA WEWE NI MALAYA?....!halafu umalaya sio ujanja mdogo wangu.

SHAME ON YOU!

Jamani ameeleza mtazamo wake mbona unakuwa mkali hivyo?kama wewe umeoa si wewe tupo wengi tu humu ambao hatuajaoa wala kuolewa.Je hiiipo kwenye rules kwamba kama hujaoa ama kuolewa usitume posts humu? si bora yeye amejielza ukweli?
Mmh amekugusa nini?
 
Jamani ameeleza mtazamo wake mbona unakuwa mkali hivyo?kama wewe umeoa si wewe tupo wengi tu humu ambao hatuajaoa wala kuolewa.Je hiiipo kwenye rules kwamba kama hujaoa ama kuolewa usitume posts humu? si bora yeye amejielza ukweli?
Mmh amekugusa nini?
...Mkuu nimekugongea kasenksi kule. Ndio maana nilisema kule kwetu wakati mwezi ukiwa mchanga tulishauriwa tuwe tunakuwa karibu na watu kama Geoff...nafikiri wale wazee waliona mbali ni katika kuwasaidia tu...Sasa huyu karibu giza litaanza atatulia mkuu!!
 
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.
Duu,kumbe mpaka dunia hii ya vipodozi mpaka vya kichina still hizo michakato zina exist?
 
Wanajf mwenzenu nikiwa katika maeneo ya 6x6 kuna vijimambo huwa vinanikera sana kiasi hufikia hatua ya kupoteza hata appetite ya kupiga mechi. Nikikutana na msichana au mwanamke mwenye kaharufu ka mdomo, jasho, anafumba macho muda wote wa mechi,nikipiga bao anaharakisha kutafuta kufuli yake ili awahi kuondoka au anataka kumegana wakati wa giza tu (hapendi mwanga) kwa kweli naweza kumfuta katika mahusiano na nisimtafute tena....Ni mtazamo wangu tu.
imposible kaka
 
Back
Top Bottom