..jimbo la Mtama ..lilokua chini ya Mh Membe......atakabiliwa na majukumu ya kifaifa
..Jimbo la Kigoma kaskazini lilokua chini ya mH zitto....anataka kuwa mwalimu wa chuo
NB..wote hawa inasemekana wanataka kugombea urais..ila kwa zitto kdg kuna utata
karibu tujadili...