Kama tumeshindwa kuzuia ujangili bora tufundishe namna bora ya kung'oa pembe na meno bila kuwaua.. Hata ikiwezekana tutumie sindano za usingizi na ganzi na kila jangili lazima awe na daktari wa kufanya zoezi. Haya ni mawazo ya mwananchi wa kawaida asiye na uwezo wa kulinda hata ujangili kwa kuku wake wa familia. Je sawa???????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.