Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,989
Duuuh ni kweli kwamba kila muwamba Ngoma huvutia upande wake,NI kipindi kirefu Sana toka CMG ianze Tamasha la Fiesta lakin Leo inasadikika kuwa Tamasha hili linasitishwa kwa sababu zisizo za msingi ambazo zilionekana kwenye barua iliyotumwa Jana humu.
Swali je serikali ni kwanini walitoa kibali Cha Tamasha hili toka mwanzo na kwanini hawakuiona effect au hayo malalamiko hayakutolewa toka juzi ili kuwezesha CMG kujipanga?ni swali ambalo halitakuwa na majibu ya msingi ila ifike wakti fitna ziishe kwa sababu inawezekana pia kuondolewa kwa Tamasha la Fiesta ikapelekea kupooza kwa Tamasha la Wasafi sote ni Watanzania,tayari mshaondoa ajira za kina Rostam,Weusi inakuwaje Kama wakishajipanga au kumuahidi mwenye nyumba Kama atalupwa baaada ya wiki,
This is not fair.
Mpaka sasa Hatuamini Tunachokiona.
Swali je serikali ni kwanini walitoa kibali Cha Tamasha hili toka mwanzo na kwanini hawakuiona effect au hayo malalamiko hayakutolewa toka juzi ili kuwezesha CMG kujipanga?ni swali ambalo halitakuwa na majibu ya msingi ila ifike wakti fitna ziishe kwa sababu inawezekana pia kuondolewa kwa Tamasha la Fiesta ikapelekea kupooza kwa Tamasha la Wasafi sote ni Watanzania,tayari mshaondoa ajira za kina Rostam,Weusi inakuwaje Kama wakishajipanga au kumuahidi mwenye nyumba Kama atalupwa baaada ya wiki,
This is not fair.
Mpaka sasa Hatuamini Tunachokiona.