Hawa wote ni wastaafu? Nini tofauti yao?

Tofauti yao ni kwamba Msuya na Sumaye walitoka madarakani kwa sababu muda wao ulikuwa umeisha wakati Edward Lowassa alilazimishwa kuachia madaraka kwa sababu ni FISADI MWANDAMIZI
 
wabondei ndio kina nani tena... I am not in Tanzania, I left when I was just 15 yrs when Mwinyi was the President... so it is been a while dear ...now would u care to tell me who are those guys on the picture?
mhhh ok baby, these are the retired prime ministers from left Cleopa Msuya, Sumaye and Edward Lowassa
 
...Wastaafu wawili tu hapo....Msuya na Sumaye. Huyo mwingine sio mstaafu!!!

Kitu kinacho nishangaza ni kwamba, TBC1 kila wanapotoa habari kuhusu Lowasa,
Huwa wanamwita 'Waziri Mkuu Mstaafu"
Sasa sijui hawajui Kiswahili au wana makusudi yao!
 
Kitu kinacho nishangaza ni kwamba, TBC1 kila wanapotoa habari kuhusu Lowasa,
Huwa wanamwita 'Waziri Mkuu Mstaafu"
Sasa sijui hawajui Kiswahili au wana makusudi yao!

Mkuu ulifikiria wamwite nani. Waziri Mkuu Mng'atuka au?
 
Mwana JF kwa upande wako unaonaje?
Wote ni wastaafu? au nini tofauti yao?

Unamaanisha nini, kuna utofauti wa aina nyingi hapo, utendaji, mavazi, mwili, ufisadi (kwani kuna wengine wanatuhuuma za ufisadi japo hazijathibitishwa) pesa n.k. Nyumbulisha utafauti
 
kaka wana tofauti kubwa sana hawa. Mmoja ametulia mwanga kwao kwa muda akiwatengeneza wanaofaa katika jimbo hilo lenye umeme kila pembe, kama nimekosea samahani . Wawili wanaupenda sana urais wa Tanzania, halafu wote ni jamii ya wafugaji na katika nyakati tofauti walisababisha vurugu ya wafugaji na wakulima katika mkoa wa Morogoro hasa wilaya ya Kilosa.Wafugaji wakikohoa tu, wakulima sura zao zinasilibwa na ma'''masi.Naam hawa wanatofauti kubwa sana. Ukitaka nitakunong'oneza. lakini kiuwazi wana tofauti kubwa hata kwa kuangalia ukweli wa sura zao na mioyo yao.
 
Back
Top Bottom