Hawa wengine wanamtukana Magufuli?

Hawa wengine wanamtukana Magufuli?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,613
Kweli mtu umaarufu pekee ulionao ni kuhusishwa na biashara ya madawa, na unaenda kugombea Jimbo hata hawakujui?

IMG-20200705-WA0528.jpg
 
Watu wa dizaini ya kinje na wenye shughuli kama zake ndio wenye chama sasa hao,hawa wakina Lijuakali watulie walambishwe buti la jeje.
 
Huyu si walihamia chadema na mshua wake imekuaje tena
 
Kweli mtu umaarufu pekee ulionao ni kuhusishwa na biashara ya madawa, na unaenda kugombea Jimbo hata hawakujui?

Huyu Jamaa kwa Sasa Kaka yake ndiyo Mbunge anayemaliza muda wake kutokea CUF, Anaitwa Vedastus Ngombale Mwiru. Mbunge wa Kilwa Kaskazini.
Chimbuko Ni Kipatimu ambapo ndipo alipozaliwa Mzee Kingunge.


Note ; Maji hufuata mkondo, na ukizingatia CCM inataka hilo Jimbo. Lakini pia ikumbukwe kwa Sasa wananchi wa vijijini wanaangalia undugu zaidi kuliko chama.
 
Huko nzi wa kijani kila mjinga anaona anafaa kua mbunge,kuna mzee wa kula rambirambi,babu tale list ni ndefu sana,wengi wao ukiwauliza wanakuambia lusinde na msukuma ndio role modo wao
 
Hao ndio wafadhili wa chama lazima wabebwe..😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom