Hawa wengine wanamtukana Magufuli?

Hawa wengine wanamtukana Magufuli?

Kila akiingia madarakani anaingia na watu wake wa kula nao,sema utawala huu ni wa kibabe ndiyo maana mambo hayaongelewi. Hata wewe ukiingia utaingia na watu wako,zingine hizi ni siasa tu.
Usemayo ni kweli ila sasa ivi tunalamba beer walau kwa amani hakuna mambo ya sijui unanijua mimi sijui kutoa bastola yamepungua kama sio kuisha kabisa
 
Back
Top Bottom