Weee.... lugha zao ushazisikia?Ndugu zangu wanaume dunia hii imejaa wanawake wengi. Hawa ni jukumu letu sisi wanaume kuwaoa, kuwawezesha na kuwanusuru na maswahibu wa dunia. Wanaume tuache woga tuwaoe, tuwapangie nyumba na tuwahudumie.
Hii wanajiuza na kudanga hovyo mitaani ni makosa yetu; tuwanusuru wanawake kwa kuwaoa zaidi ya mmoja.
Ndugu zangu wanaume dunia hii imejaa wanawake wengi. Hawa ni jukumu letu sisi wanaume kuwaoa, kuwawezesha na kuwanusuru na maswahibu wa dunia. Wanaume tuache woga tuwaoe, tuwapangie nyumba na tuwahudumie.
Hii wanajiuza na kudanga hovyo mitaani ni makosa yetu; tuwanusuru wanawake kwa kuwaoa zaidi ya mmoja.
Huwezi kuoa Kama uchumi haupo vizuri!
Go and do it..Acha uoga na visingizio.
Mke mmoja unakuta mtu unaongea peke yako barabarani sasa wakiwa wanne si ndio unakuwa chizi kabisa...Ndugu zangu wanaume dunia hii imejaa wanawake wengi. Hawa ni jukumu letu sisi wanaume kuwaoa, kuwawezesha na kuwanusuru na maswahibu wa dunia. Wanaume tuache woga tuwaoe, tuwapangie nyumba na tuwahudumie.
Hii wanajiuza na kudanga hovyo mitaani ni makosa yetu; tuwanusuru wanawake kwa kuwaoa zaidi ya mmoja.
Ni kuolewa tu, hamna kingineMbona na wanaume siku hizi wanadanga mkuu? Hao tuwafanye nini?