...pilipili usiyoiilaaa yakuwashia nini....Tanzania tunazidi kuhoji nani kafanya nini, kwa masilahi gani, nk.
...Mkuuu kula wali/ugali maharagwe/dagaaa songa mbeleee.....majungu yasikutawale
Curiosity didn't kill the cat,ignorance did....pilipili usiyoiilaaa yakuwashia nini....Tanzania tunazidi kuhoji nani kafanya nini, kwa masilahi gani, nk.
...Mkuuu kula wali/ugali maharagwe/dagaaa songa mbeleee.....majungu yasikutawale π π
Katika list umewasahauKati ya vitu nimekuwa nikijiuliza ni kuhusu hawa wanawake tunu za taifa hili.
- Samia Suluhu
- Anne Makinda
- Joyce Ndalichako
- Anna Tibaijuka
- Jenista Mhagama
- Asha Rose Migiro
- Esther Bulaya
- Ummy Mwalimu
- Tulia Atkson
- Maua Daftari
- Julian Shonza
- Catherine Magige
- Getrude Rwakatare
- Getrude Mongella
Je, wameolewa na kama wameolewa waume zao wako wapi na wanafanya nini?
Kwanini pia hatuwaoni hata kwa bahati mbaya?
Mwenye kujua samahani pia kwa uzi sina nia ya kuchunguza familia za watu.
Fungua wewe thread yako uhoji hayo maswali yako,mwenzio yeye kaamua kuuliza alivyouliza,hatupangiani vitu vya kuhoji....pilipili usiyoiilaaa yakuwashia nini....Tanzania tunazidi kuhoji nani kafanya nini, kwa masilahi gani, nk.
...Mkuuu kula wali/ugali maharagwe/dagaaa songa mbeleee.....majungu yasikutawale π π
ishu sio kuwa na mtoto,ishu ni ameolewa au hajaolewa?Bulaya ana mtoto mkubwa tu anasoma form one au two.