Hawa wanawake wa Facebook ni hatari, ukishangaa umefilisika

Hawa wanawake wa Facebook ni hatari, ukishangaa umefilisika

Machakoz

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
369
Reaction score
202
Habari zenu JF.!

Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.

Kuna sister mmoja aliniomba urafiki fb, nami bila kujivunga nikamkubali na kuanza kuchati nae inbox.

Baada ya kubadilishana sms kwa kipindi cha kama wiki hivi nikaanza kuona mabadiliko kutoka urfk wa kawaida mpk sms za mapenzi,kwa kuingizwa kaneno kale ka wapendanao, mara honey! Mara swt nk. Mwanaume sikutaka kujivunga nami nikawa nazijibu kwa ufanisi mkubwa.

Mwisho wa siku nikaanza kupigwa vibomu, mara bby nadaiwa kodi mama mwenye nyumba hataki kulipwa nusu hivyo naomba niongeze kama elfu 20 ili nikamilishe. Mara swt naomba kiasi cha laki moja mtaji wangu umekata, yaani ni shiiiiida. Mwanaume ikabidi nimblock na urafiki ukaishia hapo, mtu hatujaonana wala hatufahamiani vzr je mpk ikifika mwaka c atakuwa kishakufilisi?
 
fb account niliifuta mwaka wa pili huu
 
Achana na fb nenda badoo ndio utapata wife material...(joke)

Mimi fb naingia mara 1 kwa mwezi kuangalia kama kuna mtu kani inbox na nataka nianze kuadvirtise businesses there, not otherwise.
 
Na mimi ilinitokea case kama ya kwako. Nilichokifanya nikamwambia anipe akaunti ya benki nimuwekee. akakataa nikamuuliza yuko wapi, akajibu Tegeta, nikamwambia niko maeneo hayo nije nimpe cash, akaingia mitini...
 
Iyo ni midume inawajaribu wapenda miteremko ukiingia kingi umepigwa
 
Msipende sana 'kuikandia' Facebook. Mtandao wowote ule una mazuri na mabaya yake, inategemea na wewe mtumiaji umejiweka vipi kukabiliana na changamoto unazokutananazo. Bahati mbaya sana hao wanawake mnaowahofia kuwa watawafilisi (wapiga virungu) hata humu JF wamo, kaeni mkao kula!
 
Habari zenu JF.!

Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.

Kuna sister mmoja aliniomba urafiki fb, nami bila kujivunga nikamkubali na kuanza kuchati nae inbox.

Baada ya kubadilishana sms kwa kipindi cha kama wiki hivi nikaanza kuona mabadiliko kutoka urfk wa kawaida mpk sms za mapenzi,kwa kuingizwa kaneno kale ka wapendanao, mara honey! Mara swt nk. Mwanaume sikutaka kujivunga nami nikawa nazijibu kwa ufanisi mkubwa.

Mwisho wa siku nikaanza kupigwa vibomu, mara bby nadaiwa kodi mama mwenye nyumba hataki kulipwa nusu hivyo naomba niongeze kama elfu 20 ili nikamilishe. Mara swt naomba kiasi cha laki moja mtaji wangu umekata, yaani ni shiiiiida. Mwanaume ikabidi nimblock na urafiki ukaishia hapo, mtu hatujaonana wala hatufahamiani vzr je mpk ikifika mwaka c atakuwa kishakufilisi?
umemblock kabla hujala mzigo? umekosea sana
 
umemblock kabla hujala mzigo? umekosea sana
Ha ha ha ha ha
mkuu ww unawaza ngono tu, Ngono mbaya sana mkuu
Sie tulioa hatuna neno hilo tuna "TENDO LA NDOA" safi full kujipakulia tu.
 
Ha ha ha ha ha
mkuu ww unawaza ngono tu, Ngono mbaya sana mkuu
Sie tulioa hatuna neno hilo tuna "TENDO LA NDOA" safi full kujipakulia tu.
lol! lakini maana ile ile tu hata uipunguze makali vipi.
 
Bahati yako mkuu,mimi kila niliekutana nae hana simu au kaibiwa au imeharibika au kaazima simu ya dada kwa hiyo nimnunulie ,nikaona ushenzi huu maana hakuna mwanamke anaejitegemea wote wapiga mizinga tu nikafuta account kabisa nikafungua nyingine fake mpaka leo natumia kusoma habari zangu tu sijibu mtu wala situmii mtu msg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom