Hawa wajita ni watu hatari saana!

Hawa wajita ni watu hatari saana!

saaaaaaaaaaaaafi wajitaaaaaaaaaaaaaaaaaa mnaakiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana ...nyamhanga awasakilisheeeeeeee wa mayiii
 
Haya majamaa akina yego watu hatari sana kwani wameweza kuwa influence NOKIA ambao wametoa simu yenye lugha ya KIJITA.
Sijui wamewezaje lakini habari ndiyo hiyo. Katika machache niliyoweza kuelewa ni kama haya:-

Phonebook ECHITABHO
Menu AMAGAMBO
names/contacts AMASINA
Time OMWANYA
Ringtone LILILILO
Settings OMWINYANJO
Call BHUMA
Received calls JILAMIBHWE
Missed calls ITALAMILWA
Games OBHWENYWA
Vibration INYEGHENYHO

tunaomba mzidi kututafsiria mengine! chezeya furu weye!!!

NOKIA -Inokia
 
100 mkuu. Wanafiki sana,wabinafsi,mbaya zaidi uwe umeoa binti wa kijita utachukia kuishi.

Mabint wa kijita wananini mkuu kaka angu kaoa mjita mwaka wa saba huu hawana tatizo wanaish vizur tu


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Yego masika...abhajita abhenda abhagasi sana....abhegega lol!
 
Back
Top Bottom