nadhani ni vizuri uka-adimit kuwa wewe mwenyewe pamoja na wazazi wako waliokuzaa ndio washenzi wakubwa.mi mwenyewe mhaya, ila wahaya wengi ni washenzi na wanapenda sifa za kijinga.
Kwani wewe kipi kinakunyima kupumua?Si napojisikia kuwa bored turn another channel just simple like that.
Khe,inabidi nikuepuke maana unaonesha ni-jinsi gani upeo wako wa kufikiri unavyofanya kazi kwa msaada wa makalio.Uki-apply hii 'kipi kinakunyima kupumua' kila sehemu kuna cku utaliwa kiboga utasema hivyohivyo *KIPI KINANINYIMA KUPUMUA ?*
Mhhhh!! unamaanisha kipindi hiki kitadili na familia moja ya kabila moja Tanzania? mbona sasa kinasomeka 'Watanzania waishio nje(Marekani)'? Kama ndivyo,sasa pale EATV wamevutiwa na nini kutumia mda wao mwingi kulenga familia moja ya kabila moja ingali huko ughaibuni kuna familia nyingi tu?Je, yawezekana uongozi wa EATV ukawa na affiriation na familia hiyo?nywy itafahamika!
nadhani ni vizuri uka-adimit kuwa wewe mwenyewe pamoja na wazazi wako waliokuzaa ndio washenzi wakubwa.
okay, i confess for that.ingefaa ukamtukana mwenyewe na usihusishe wazazi wake kwenye matusi yenu kwani wao hawakumtuma kuandika hivi.
Potration ya Watanzania wanaoishi nje????I DONT THINK SO!!!Wanachoonyesha ni familia yao inavyoishi Marekani na sio Watanzania waishivyo Marekani!!
Mi mwenyewe Mhaya, ila Wahaya wengi ni washenzi na wanapenda sifa za kijinga.