mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Mwamnyeto
huyu uwezo wake umeshuka sana, limekuwa beki la hovyo mnoo..hili pazia likicheza watu wanafinya mbupu mwanzo mwisho..Lifukuzwe
Ikangalombo
Wakati mwingine sio lazima timu iwe nawachezaji wote 12 wakigeni , niheri kutosajili kabisa ikiwa hakuna mchezaji wa maana sokoni ..hili jamaa hakuna kitu ,kwanza livivu mnoo ,linasubiri lipate mpira likimbie hovyo ..Lifukuzwe Mbadala : kipre jr kwa mkopo (Mc Alger)
Musonda
Huyu katika baadhi ya matukio ameisaidia timu , ila hana muendelezo wa kiwango kizuri .mazuri aliyoyafanya yanatosha..Afukuzwe
Mbadala: Jonathan sowah (singida bs)
Kibabage
Huyu ni beki wa pembeni wa hovyo kuwahi kucheza Yanga , sio mzuri kupiga cross za mwisho mbali namaspidi yake yasiokuwa na faida ,lakini ni uchochoro sana kwenye kuzuia .aina hii ya mchezaji hastahili kuvaa jezi ya Yanga sc.
Afukuzwe
Mbadala :Msindo pascal (Azam)
AZIZ KI
Hapa najua wana Yanga sc wengi mtanipinga , ila yapasa kusema alichotufanyia Aziz ki kinatosha na Niwakati sahihi wakuachana nae, huyu ameshakuwa na mambo mengi nje ya uwanja na ameshafikia peak yake ya ubora , kinachofuata nikuanza kushuka kwa graph yake kiuchezaji , Yanga imuuze huyu hivi sasa ikiwa bado mapema ili kupunguza mzigo wa mshahara wake lakini pia kuingia sokoni kupata wachezaji wenye njaa zaidi..AFUKUZWE
mbadala : Feisal salam (Azam)
DUKE Abuya
Ni mchezaji mwenye mapafu ya mbwa ,lakini mwenye zao la mwisho baya Mno uwanjani , passing ability yake ni mbovu ,hajui wakati sahihi wakupiga pasi au kushoot .AFUKUZWE
mbadala : Arthur Bada (singida bs)
huyu uwezo wake umeshuka sana, limekuwa beki la hovyo mnoo..hili pazia likicheza watu wanafinya mbupu mwanzo mwisho..Lifukuzwe
Ikangalombo
Wakati mwingine sio lazima timu iwe nawachezaji wote 12 wakigeni , niheri kutosajili kabisa ikiwa hakuna mchezaji wa maana sokoni ..hili jamaa hakuna kitu ,kwanza livivu mnoo ,linasubiri lipate mpira likimbie hovyo ..Lifukuzwe Mbadala : kipre jr kwa mkopo (Mc Alger)
Musonda
Huyu katika baadhi ya matukio ameisaidia timu , ila hana muendelezo wa kiwango kizuri .mazuri aliyoyafanya yanatosha..Afukuzwe
Mbadala: Jonathan sowah (singida bs)
Kibabage
Huyu ni beki wa pembeni wa hovyo kuwahi kucheza Yanga , sio mzuri kupiga cross za mwisho mbali namaspidi yake yasiokuwa na faida ,lakini ni uchochoro sana kwenye kuzuia .aina hii ya mchezaji hastahili kuvaa jezi ya Yanga sc.
Afukuzwe
Mbadala :Msindo pascal (Azam)
AZIZ KI
Hapa najua wana Yanga sc wengi mtanipinga , ila yapasa kusema alichotufanyia Aziz ki kinatosha na Niwakati sahihi wakuachana nae, huyu ameshakuwa na mambo mengi nje ya uwanja na ameshafikia peak yake ya ubora , kinachofuata nikuanza kushuka kwa graph yake kiuchezaji , Yanga imuuze huyu hivi sasa ikiwa bado mapema ili kupunguza mzigo wa mshahara wake lakini pia kuingia sokoni kupata wachezaji wenye njaa zaidi..AFUKUZWE
mbadala : Feisal salam (Azam)
DUKE Abuya
Ni mchezaji mwenye mapafu ya mbwa ,lakini mwenye zao la mwisho baya Mno uwanjani , passing ability yake ni mbovu ,hajui wakati sahihi wakupiga pasi au kushoot .AFUKUZWE
mbadala : Arthur Bada (singida bs)