kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,163
- 2,223
Hii mitandao ya simu kweli inasumbua. Toka jana kama ulikuwa umehifadhi pesa yako M-Pawa huwezi kuitoa, utaitazama tu lakini huwezi kuitoa. Ukiwapigia voda unaambiwa ooh kuna matatizo subiri saa 72.
Hivi wataalam wa haya makampuni yetu uwa wanafanya kazi gani maana financial systems solution zake uwa zinabidi ziwe haraka watu waendelee na mambo yao. Facebook yenyewe ikitokea tatizo haichukui hata nusu saa inarudi hewani.
Lakini hapa kwetu eti unaambiwa usubiri saa 72 kutumia ela yako yani tunapangiana hata matumizi.
Hivi wataalam wa haya makampuni yetu uwa wanafanya kazi gani maana financial systems solution zake uwa zinabidi ziwe haraka watu waendelee na mambo yao. Facebook yenyewe ikitokea tatizo haichukui hata nusu saa inarudi hewani.
Lakini hapa kwetu eti unaambiwa usubiri saa 72 kutumia ela yako yani tunapangiana hata matumizi.